Filamu 68 zitachuana kuwania tuzo katika Tamasha la 28 la Kimataifa la Filamu (ZIFF) linalotarajiwa kuanza kufanyika Juni 25 hadi 29, 2025.Filamu hizo zilizochaguliwa ni kati ...
Kampuni ya Recording Academy ambao ni wagawaji wa tuzo za Grammys wametangaza mabadiliko katika tuzo hizo kwa mwaka 2026 ambapo watagawanya tuzo ya ‘Best Country Album&r...
Wakati wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wametulia usiku majumbani kwao wakitumia muda huo kupumzika, kwa upande wa mwanamuziki Mbosso usiku wa kuamkia leo Juni 13,2025 u...
Msanii wa Hip-hop nchini, Moni Centrozone amewekawazi sababu inayopelekea kundi lao la MOCO lisiwe na mfululizo mzuri wa kuachia nyimbo.Hii ni kufuatia kutokuwepo kwa mfululiz...
Meneja Msaidizi wa Dj Mushizo, Ally Masupu amesema chanzo cha moto kilichosababisha msanii huyo kupata ajali ya moto ni shoti ya umeme.Mashizo alikumbwa na ajali hiyo jana saa...
Jina la Taylor Terry huenda si maarufu kwa watu wasiopendelea mitandao ya kijamii, lakini katika ulimwengu wa TikTok mwanadada huyo amekuwa akifuatiliwa zaidi kupitia video za...
Kundi maarufu la muziki wa Bongo Fleva nchini, Mabantu ambao kwa sasa wanatamba na ngoma ya ‘Vibaya’ waliyoshirikishwa na msanii wa Singeli Dogo Elisha, wameweka w...
Mwanamuziki kutoka Marekani, Chris Brown ‘Breezy’ ameweka wazi kuwa maisha ya umaarufu yamekuwa na athari kubwa katika afya yake ya akili, huku akieleza kuwa kuna ...
Rapa na mjasiriamali wa mitindo, Kanye West, ambaye anafahamika pia kama 'Ye' amebadilisha tena jina lake na sasa anatambulika kama 'Ye Ye' ikiwa ni miaka ...
Kumekuwa na sintofahamu katika mitandao ya kijamii kufuatia mwanamuziki Abigail Chams, kushindwa kubeba tuzo za BET 2025, tukio lililofanyika hivi karibuni huko Los Angeles, M...
Msanii wa Bongo Fleva, Billnass ametoa ushauri kwa vijana na marafiki zake ambao wanavipaji vinavyohusisha umaarufu lakini bado wanajitafuta huku akiwataka kuwa wastamilivu na...
Mwanamuziki wa Canada, The Weeknd ameandika historia mpya ‘MetLife Stadium’, Marekani kwa kuwa msanii wa kwanza wa kiume mweusi aliyeingiza pesa nyingi zaidi kweny...