Niaje niaje, wiki ya kuchakarika ndiyo imeanza, huku hatujamaliza ada huku kodi, kule bill zingine, unalipaje mahitaji yote hayo, jibu ni kujishughulisha, na kama kawaida yetu...
Mwanamke mmoja kutoka nchini Ghana aitwaye Chef Faila anadaiwa kuipiku na kuvunja rekodi ya Alan Fisher kwa kupika masaa 227.
Aidha mwanamke huyo anasubiri uthibitisho kutoka ...
Kama ilivyo kawaida yetu @Mwananchiscoop hatulazi damu, wiki hii katika biashara tunakusogezea mada ambayo haina mambo mengi kabisa kuhusiana na vyakula simple unavyotakiwa ku...
Chocolate cake ni biashara ambayo kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikiwatoa watu kimasomaso kwa kuwabadilishia maisha yao, mwezi Disemba ni mwezi ambao baadhi ya watu hupende...
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani, #Quavo ametambulisha kitabu chake cha Mapishi kinachoitwa ‘Huncho Farms’ kilichowasilishwa na taasisi yake mpya ya #Quav...
Ooooiiiiiih! yaani mpaka mseme, hivi na nyie mmegundua siku za hivi karibuni biashara hii ya kupika chapati imekuwa katika maeneo mengi yenye mkusanyiko wa watu.Tena kilichoni...
Hellow! i hope mko poa watu wangu wa nguvu, kama kawaida yetu katika segment ya biashara tunakushushia vingi hatari ili na wewe usikae kinyinge.
Katika biashara leo nime...
Ikiwa zimepita siku chache tangu ‘rekodi’ ya mpishi maarufu kutoka Nigeria Hilda kuvunjwa amedai kuwa kwenye roho yake na historia atabaki kuwa mmiliki wa rekodi h...
Baada ya mpishi kutoka nchini #Nigeria, #HildaBaci kuvunja ‘rekodi’ ya dunia ya Guinness kwa kupika siku nne mfululizo (saa 100) hatimaye ‘rekodi’ hiyo...
Na Aisha Lungato
Novemba kama Novemba, niliwaambia siku hazigandi bwana, na tumebakiza mwezi mmoja tuu tumalize mwaka, haya ndugu yangu vacation unaenda na pesa gani bila ya k...
Kwenye biashara wiki hii kama kawaida yetu nimekusogozea kitafunwa ambacho wengi wetu hukipendelea kunywa na soda ama juice, ukinywa na chai pia siyo mbaya ila havinogi udugu ...
Niaje niaje, watu wangu wa nguvu, kama mjuavyo kauli mbiu yetu ni kupiga kazi tuu bila ya kujali ni kazi gani uifanyayo maana siku hizi hakuna kazi za kiume wala za kike.Sasa ...
Uhali gani! mchakarikaji mwenzangu, mwisho wa mwezi huu embu tukae kidogo tuulizane umeingiza shilingi ngapi mwezi huu? au ndiyo patupu na upo tuu hapo hutaki kujishughulisha....