20
Chris Brown akicheza ‘Komasava’ ya Diamond
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown bado ameendelea kuonesha mapenzi yake kwenye ngoma za wasanii wa Afrika na sasa ameonekana akicheza ‘Komasava’ ya Diamond a...
10
Jinsi ya kupika pilau kwa ajili ya biashara
  Na Aisha Lungato Moja ya biashara ambayo inalipa sana siku hizi na inafanywa na vijana wengi wa kiume nyakati za usiku ni uuzaji wa chakula haswa pilau. Waswahili wanas...
15
Takribani 14 wafariki kwa kuangukiwa na bango la tangazo
Imeripotiwa kuwa takibani watu 14 wamefariki dunia siku ya jana Jumatatu Mei 13, 2024 baada ya kuangukiwa na bango la matangazo kufuatiwa na mvua iliyonyesha jijini Mumbai nch...
20
Man City yaanza kutafuta mbadala wa Pep
Mabosi wa klabu ya #ManchesterCity wameanza kutafuta ‘kocha’ mwingine baada ya mkataba wa kocha’ #PepGuardiola kuelekea ukingoni klabuni hapo. Awali iliripot...
11
Jason Derulo anaamini Diddy hana hatia
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia. Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
05
Offset na Cardi B wafuta urafiki
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Offset na mkewe Cardi B wamezua gumzo mitandaoni baada ya wawili hao kufuta urafiki kwenye mtandao wa Instagram. Baadhi ya mashabiki ...
30
Akiri kupata tsh bilioni 15 kwa njia ya udukuzi
Raia mwenye asili ya Nigeria na Uingereza anayefahamika kwa jina la Idris Dayo Mustapha mwenye umri wa miaka 33 amekiri mahakamani kosa la udukuzi wa mitandaoni nchini Marekan...
21
Aina hii ya marafiki watakusaidia kufikia malengo kazini
Miaka ya hivi karibuni imetufundisha mengi kuwa siku hizi unasaidiwa sana na rafiki kuliko ndugu uliyezaliwa naye, hii ni kutokana na kutiliana vinyongo na kutopenda mafanikio...
03
Nusu ya watu duniani watakua na unene unaozidi kufikia 2035
Ripoti maalum kutoka Shirika la Watu Wanene (WOF) limetoa angalizo na kueleza itafikiwa hivyo ikiwa hatua hazitachukuliwa mapema, zaidi ya Watu Bilioni nne wataathirika. Aidh...
14
vijiji vyote Tanzania bara vitapata umeme kufikia desemba 2023
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini REA, Hassan Said, amesema Mradi mkubwa unaoendelea wa Awamu ya Tatu Mzunguko wa Pili utapeleka huduma ya ...
07
Idadi ya wakazi duniani kufikia bilioni 8
Umoja wa Mataifa unakadiria kwamba idadi ya wakazi duniani itafikia bilioni nane kufikia Novemba 15 na itaendelea kukua ingawa kwa kasi ndogo na kwa tofauti ya kimaeneo, katik...
24
fahamu marafiki watakaokusaidia kufikia malengo yako
Katika zama hizi za maendeleo ya kidijitali, ni rahisi sana kufahamiana na watu wengi ambao, hata hivyo, wanaweza wasiwe marafiki wala kuwa na msaada kwako. Unaweza, kwa mfano...

Latest Post