Msanii wa vichekesho na mtayarishaji, AbdulMohamed 'Selengo' licha ya kuwachekesha wengine ni mtu ambaye uso wake unatawaliwa na machozi pindi anapozungumzia kitu ki...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu ameripotiwa kufikisha Subscriber milioni 4 katika mtandao wake wa Youtube.Hatua hiyo imepelekea kuwa msanii wa kwanza wa kike Afrika Ma...
Hatimaye Jennifer Lopez, 55, na mtalaka wake, Ben Affleck, 52, wamefikia uamuzi wa pamoja wa kuliondoa sokoni jumba lao la kifahari lenye thamani ya Dola68 milioni lililopo Lo...
Ndivyo tunavyoweza kusema kufuatia kundi la muziki kutokea Nigeria, P-Square pamoja na wasanii wake ambao ni pacha (Peter na Paul Okoye) kuendelea kufanya kazi na wenzao wa Bo...
Kampuni ya Netflix imeweka historia nyingine kupitia msimu wa tatu wa tamthilia maarufu ya Kikorea, Squid Game, baada ya sehemu hiyo kuvunja rekodi ya watazamaji katika siku t...
Na Nevumba AbubakarNyota ya msanii chipukizi wa singeli, Dogo Paten inazidi kung'ara kila uchao tangu Zuchu alipomshika mkono.Kwa sasa kila mitaa inapigwa ngoma ya Afande...
Wakati kesi ya mkali wa muziki wa hip hop, Sean "Diddy" Combs ikikalibia kutamatika huku hukumu ikitarajia kutolewa Octoba mwaka huu, sakata jingine limeibuka ambapo mwanaume ...
Mwanamuziki wa Hip Hop nchini Frida Amani ameeleza njia anazozifanya ili kuwa bora katika muziki huo kila siku akitaja kuwa ni kujifunza, kufanya kazi kila siku pamoja na kuwe...
Mwanamuziki nguli kutoka Benin na bara la Afrika kwa ujumla, Angelique Kidjo, ameandika historia kwa kuteuliwa kuwa miongoni mwa wasanii watakaopata nyota katika Hollywood Wal...
Promota wa wasanii wa muziki wa nyimbo za injili nchini Alex Msama na msanii wa nyimbo hizo Smart Boy leo Julai 3,2025 wameshinda tuzo ya EAGMA 'East Afr...
Nyota wa muziki nchini Diamond ameeleza namna anavyotumia muziki wake kupenya kimataifa huku akifunguka kuachia albamu mpya itakayotoka Septemba, iliyosheheni kolabo mbalimbal...
Baada ya jopo la majaji kutoa uamuzi usiokamilika na kuifanya mahakama kuwarudisha tena kujadili kuhusu kesi ya rapa Sean Diddy Combs, hatimaye uamuzi wa kesi hiyo umekamilika...
Mwanamuziki kutoka Marekani Kanye West ambaye kwa sasa anajitambulisha kama ‘Ye Ye’, amezuiliwa rasmi kuingia nchini Australia baada ya serikali kufuta visa yake k...
Majaji ambao wanasimamia maamuzi kwenye kesi ya rapa Sean “Diddy” Combs wameripotiwa kufikia uwamuzi kwenye baadhi ya kesi huku kesi ya kufanya uhalifu wa kupanga ...