Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
Baada ya mwanamuziki Nicki Minaji kukataa kuingiza verse kwenye ngoma ya Kanye West iitwayo ‘New Body’, na sasa ni zamu ya ‘rapa’ Ice Spice naye amerip...
Mwanamuziki na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kanye West anaripotiwa kuwa na mipango ya kufanya ziara ya dunia miezi michache ijayo.Kwa mujibu wa tovuti ya #Billboard, Ka...
Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzi...
Mwanamuziki wa bongo fleva, Ruta Bushoke amemtaja msanii wa kike, Zuhura Othoman 'Zuchu' kwamba alikuwa namba moja kwa kufanya kazi bora mwaka 2023.
Bushoke ametoa sabab...
Imekuwa kawaida baadhi ya watu, kusahau sehemu ambayo wameacha simu zao. Jambo hili huumiza kichwa zaidi ikiwa simu imewekwa ‘silent’, kwani hata mmiliki aki...
Ewaoluwa Olatunji, maarufu Ewa Cole, (29) ameweka rekodi ya kuimba muda mrefu nyimbo za Christmas ambapo aliimba kwa saa 31 kuanzia Desemba 27 hadi 28, Lagos nchini Nigeria
Ew...
Tatizo ni kwamba kuna Diamond na kuna Naseeb. Lakini wasaidizi wa Diamond wanafanya kazi za Naseeb zaidi badala ya kufanya kazi za Diamond Platinumz. Fuatilia kwa makini, anac...
Na Aisha Lungato
Niaje niaje! wasomi, niliwakumbuka sana sasa leo nimerudi tena ndugu yenu nisiye na hiyana kuja kuwapa nondo ambayo itaweza kuwasaidia huko mbeleni mnakoeleke...
Na Aisha Lungato
Kauli mbiu inasema ‘Kazi iendelee’ hakuna kuchoka, leo sasa kwenye segment yako pendwa kabisa ya Kazi tutajuzani ni kwa vipi unaweza kukabi...
Inawezekana hivi karibuni ukawa umesikia sana kuhusu kitu kinachoitwa AI kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo kwenye ofisi, mitaani na hata kwenye mitandao ya kijamii.
Swali kubwa...
Mtangazaji wa CNN aitwaye #SaraSidner ameweka wazi kuwa anasumbuliwa na saratani ya matiti wakati akiwa live kwenye kipindi cha asubuhi.
#Sara amefichua ugonjwa huo kwa lengo ...
Najua wiki hii siyo ya kuongelea kazi lakini sina budi kuwajuza jambo hili dogo kabisa ambalo halitawachosha kabisa, leo katika kazi tutazungumzia suala la malengo...