27
Ukikubali kuoa/kuolewa unalipwa zaidi ya Sh 102 Milioni
Ukiwa ni muendelezo wa kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini Korea Kusini, Wilaya ya Saha, Busan inampango wa kuwalipa wakazi wa eneo hilo watakao kubali kuchumbia...
05
Ushirikiano wa filamu za Tanzania na Korea ulivyowaibua waigizaji
Ikiwa zimepita saa chache tangu mchekeshaji Steve Nyerere kutoa taarifa juu ya Tanzania kuchaguliwa kuwa nchi ya kwanza kufanya filamu na South Korea baadhi ya waigizaji nchin...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
04
Sababu, filamu ya Gabo Safari ya Gwalu kuchaguliwa Korea
Ikiwa imepita siku moja tangu mwigizaji kutoka nchini Salim Ahmedy ‘Gabo Zigamba’ kuchapisha picha kupitia ukurasa wake wa Instagram ikionesha filamu yake ya &lsqu...
04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
03
Wasanii wa filamu Bongo watua Korea
Wasanii wa filamu Tanzania wamewasili Korea kwenye ziara yao ya kujifunza mambo ya filamu. Baadhi ya mastaa wa filamu ambao wapo kwenye ziara hiyo ni Irene Paul, Wema Sepetu, ...
16
Squid Game 2 kutoka Desemba 2024
Mwigizaji na mtengenezaji wa filamu kutoka Korea Kusini, Lee Jung-jae ameweka wazi kuwa filamu ya Squid Game msimu wa pili inatarajiwa kuoneshwa kwa mara ya kwanza Desemba 202...
15
Young Soo ahukumiwa kwenda jela miezi nane
Muigizaji maarufu kutoka nchini Korea Oh Young-soo, ambaye alijulikana zaidi kupitia filamu yake ya ‘Squid Game’ amekutwa na hatia kwenye kesi ya unyanyasaji wa ki...
11
Valentine Korea Wanawake ndiyo wanawapa Wanaume zawadi
Inawezekana ikawa ni ajabu lakini huo ndiyo utaratibu ulioko nchini Korea Kusini ambapo ikifika Februari 14, siku ya Valentine, wanawake ndio wanawapa wanaume zawadi tofauti n...
08
Jesse atimkia Korea, Asaini miaka miwili
Mwanasoka kutoka nchini England, aliyewahi kucheza ‘klabu’ ya #ManchesterUnited #JesseLingard ame-saini mkataba wa mika miwili katika ‘klabu’ ya #FCSeo...
26
Wala toothpicks wakidai zinaongeza ladha ya chakula
Serikali Korea Kusini imeonya na kuzuia matumizi ya vifaa vya kutolea mabaki ya chakula kwenye meno ‘toothpicks’ kutokana na baadhi ya watu kuvikaanga na kuvila.Se...
08
Kunguni waibukia Korea Kusini
Ni wiki kadhaa zimepita tangu wadudu aina ya Kunguni kutawala jiji Paris nchini Ufaransa, wadudu hao wamegeuza muelekeo na kuibukia nchini Korea Kusini. Kwa mujibu wa BBC imee...
31
Korea Kaskazini yazindua setelaiti
Nchi ya Korea Kaskazini imezindua kile ilichokiita setelaiti ya angani kuelekea kusini kwa majira ya nchi hiyo, hatua hiyo imesababisha kutolewa kwa tahadhari ya dharura, na o...
17
Idadi ya watu waliouwawa kwa kunyongwa yafikia 883,Duniani
Shirika la Kimataifa la Kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake kuwa idadi ya watu waliouawa kwa kunyongwa ulimwenguni kote mwaka uliopi...

Latest Post