22
Video Ya Why Imegharimu Sh 56 Milioni
King Bad, Marioo ametusanua kwamba Video ya wimbo wa ‘Why’ kutoka kwenye album yake ya ‘The Godson’ imeghalimu zaidi ya Sh 56 milioni mpaka kukamilika ...
05
Huyu Ndio Crush Wa Aaron Pierre Mufasa
Mwigizaji anayewakosha kinadada wengi kwenye mitandao ya kijamii Aaron Pierre ‘Mufasa’ amesema mwanamuziki na mwigizaji Ashanti ndiye mwanamke aliyekuwa akimvutia ...
25
Lulu Diva Amkingia Kifua Wema, Atoa Onyo Kwa Jamii
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Lulu Diva anayetamba na nyimbo kama Utamu, Ona, Amezoea, Nilegeze na nyingine, amesema ifikie mahala watu waache kumuuliza Wema Sepetu kuhusu kupat...
25
Huyu Ndiye Aaron Mwigizaji Anayedatisha Kina Dada
Kati ya picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuwadatisha baadhi ya kina dada, tangu mwishoni mwa 2024 hadi sasa 2025 ni za mwigizaji Aaron Stone Pierre ambaye amei...
12
Smith Amkingia Kifua Jay-Z Kuhusu Ubakaji
Rafiki wa muda mrefu wa rapa na mfanyabiashara maarufu Marekani Jay-Z, Stephen A. Smith amemkingia kifua rapa huyo kwa kudai kuwa haamini tuhuma za ubakaji zanazomkabili.Kupit...
10
Jay Z ahofia watoto wake tuhuma za ubakaji
Mwanamuziki Jay-Z alijitokeza hadharani kwa mara ya kwanza akiwa na familia yake katika onyesho la Disney la Mufasa la ku premier filamu ya 'The Lion King' huko Los Angeles, M...
21
Mbosso amuenzi King Kikii aimba Kitambaa Cheupe
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Mbosso amemuenzi nguli wa muziki wa dansi marehemu Boniface Kikumbi maarufu King Kikii ambaye alifariki dunia Novemba 15, 2024 kwa kuimba wim...
20
Patoranking, Bien kwenye album ya Marioo
Baada ya kusubiliwa kwa hamu orodha ya ngoma zilizopo kwenye albumu ya mwanamuziki Marioo, hatimaye orodha hiyo imeachiwa rasmi huku mwanamuziki wa Nigeria Patoranking akiwa n...
18
Mwili wa mwanamuziki King Kikii ukiwasili viwanja vya Leaders Club
King Kikii ambaye alifariki dunia usiku wa kuamkia Novemba 15,2024, nyumbani kwake Mtoni Kwa Aziz Ally jijini Dar es Salaam kwa ugonjwa wa saratani ya ini. Mwili wake unaagwa ...
16
Tamaduni za Misri, kuomba chumvi wakati wa chakula ni dharau
Kibongo Bongo kuomba chumvi au kiungo chochote wakati wa chakula kwa lengo la kuongeza radha jambo hilo huchukuliwa la kawaida na halina shida yoyote, lakini unapoingia nchini...
15
Rais Samia atuma salamu za pole kifo cha King Kikii
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kutokana na kifo cha nguli wa muziki wa dansi Tanzania, Boniface Kikumbi maarufu King Kikii.Salamu hizo amezitoa k...
15
Hii hapa sababu ya kifo cha King Kikii
Joseph Silumbe ambaye ni mtoto wa marehemu msanii mkongwe wa muziki wa dansi Tanzania, Boniface Kikumbi maarufu 'King Kikii' amesema baba yake amefariki kwa maradhi ya sarat...
15
King Kikii wa Kitambaa cheupe afariki dunia
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Tanzania, Boniface Kikumbi maarufu King Kikii amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ijumaa Novemba 15, 2024 akiwa anapatiwa matibabu kati...
07
Mtoto wa Diddy aanza kurithi vitu vya baba yake
Mtoto wa mkali wa Hip hop kutoka Marekani, Diddy, Christian Combs, maarufu kama King Combs taratibu ameanza kurithi vitu vya baba yake jambo ambalo liliwashitua mashabiki huku...

Latest Post