18
P Diddy anyimwa dhamana kesi ya uhalifu wa kingono
Mwanamuziki wa Marekani, Sean "Diddy" Combs, anayekabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kingono, anaendelea kuzuiwa kutoka mahabusi hadi kesi yake itakaposikilizwa tena.Hakimu wa...
17
Cardi B amkingia kifua Tyla
‘Rapa’ Cardi B amemkingia kifua msanii Tyla, aliyekabiliwa na ukosoaji katika mitandao ya kijamii baada ya tukio alilolifanya katika usiku wa Tuzo za Muziki za MTV...
14
Alikiba afunguka mipango ya kuupeleka muziki wake Kimataifa
Mwanamuziki Ali Saleh Kiba, maarufu Alikiba amefunguka kuhusiana na plani zake za kuupeleka muziki wake Kimataifa kama wasanii wengine kwa kuweka wazi kuwa anamipango wa kufan...
31
Angelique atoa neno kwa wasanii wanaoimba kusifia siasa
Glorian SulleMwanamuziki Angelique Kidjo (64) raia wa Benin amewataka wasanii ambao ni kama kioo cha jamii kutoa maoni kuhusu siasa na si kusifia chama.Kidjo amesema endapo ms...
27
Simanzi ilivyovamia nyumbani kwa Maria Carey
Mwimbaji wa muziki nchini Marekani Maria Carey (59) amethibitisha kufiwa na mama yake Patricia pamoja na dada yake mwishoni mwa wiki iliyopita.Katika taarifa yake aliyoitoa si...
01
Shilole: Ninafanya makusudi kuongea kingereza
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Shilole amesema kukosea kwake kuzungumza Kiingereza huwa anafanya makusudi ili watu wacheke. Shilole anayejishughulisha pia na bias...
14
Mbwa wa kwenye filamu ya The walking dead afariki dunia
Mbwa wa mwigizaji Daryl Dixon's aitwaye ‘Seven’ aliyeonekana katika filamu ya zombie ya ‘The Walking Dead’ amefariki dunia siku ya jana Alhamisi Mei 13...
12
Skales amchana wizkid
Rapa wa Nigeria #Skales amemtolea povu mkali wa Afrobeats #Wizkid baada ya kudai kuwa muziki wa Hip-hop umekufa. Skales ametoa povu wakati alipoulizwa swali juu ya Wiz kudai m...
05
Sean Kingston asimamishwa kizimbani
Mwanamuziki wa Marekani Sean Kingston siku ya jana Juni 4,2024 alisimamishwa kizimbani kutokana na tuhuma zinazomkabili za kuiba vitu vyenye thamani ya dola 1 milioni ikiwa ni...
03
Sababu ya Patoranking kuwa kimya kimuziki
Mwanamuziki kutoka Nigeria Patrick Nnaemeka 'Patoranking' amefichua kuwa ukimya wake kwenye muziki ulitokana na yeye kuwa masomoni.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Patorankin...
15
Ujumbe wa Diddy kwa mashabiki
Mkali wa Hip-hop kutoka nchini Marekani, Diddy Combs, ame-share ujumbe kwa mashabiki uliyokuwa ukieleza kuwa muda ndio utaongea ukweli wote. Diddy ame-share ujumbe huo kupitia...
01
Lamar amjibu Drake
Baada ya ukimya wa wiki kadhaa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Kendrick Lamar amerudi tena mjini akiwa na ngoma mpya ambayo ameitoa kwa ajili ya kumjibu Drake. Ngoma...
30
Mtoto wa Beyonce kusikika kwenye animation ya The lion King
Mtoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani Beyonce, Blue Ivy (11) ameripotiwa kuwa sauti yake itatumiaka kwa mara ya kwanza katika filamu (animation) ya ‘Mufasa: The Li...
14
Trey aikwepa kesi ya unyanyasaji wa Kingono
Imeripotiwa kuwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #TreySongz amemalizana na kesi yake ya unyanyasaji wa kingono ambayo ilifunguliwa February mwaka 2016. Kwa mujibu wa Daily...

Latest Post