Ikiwa ni wiki moja imepita tangu Rapa Jay-Z amfungulie mashtaka Tony Buzbee, wakili wa mwanamke aliyedai kubakwa na rapa huyo mwaka 2000 kwenye hafla za tuzo za Muziki za MTV....
Ikiwa imepita takribani wiki moja baada ya rapa Asap Rocky kuachiwa huru kufuatia na mashtaka ya shambulio la jinai lililofunguliwa na A$AP Relli (Terell Ephron), sasa inaelez...
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Death Row Records, Suge Knight, amemshtumu Snoop Dogg kwa kujaribu kumdhamini Duane “Keefe D” Davis ambaye ni mtuhumiwa mkuu katik...
Timu ya wanasheria wa Diddy inaonekana kuelemewa na kesi za shirikisho huku mmoja wa mawakili wake wa utetezi amepanga kujiondoa haraka katika kesi hizo.Kulingana na ‘Th...
Mwanamuziki maarufu wa Pop duniani, Rihanna (36) alifika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili mpenzi wake na mzazi mwenzie, Asap Rocky (36) ambaye anashtakiwa k...
Waendesha mashitaka wa serikali ya Marekani wameripotiwa kuleta waathiriwa wengine wawili wanaodaiwa kuwa na madai mapya dhidi ya ‘Rapa’ Diddy.Kwa mujibu wa tovuti...
Baada ya kuandamwa na kesi mfululizo za unyanyasaji wa kingono, hatimaye rapa Diddy ameamua kurudisha mashambulizi. Anadaiwa kufungua kesi ya madai kwa mtu aliyedai kuwa na vi...
Kesi inayowahusisha ndugu wawili Lyle (56) na Erik Menendez (53), inatarajiwa kusikilizwa tena mahakamani baada ya kugundulika kuwa ndugu hao huwenda wakawa hawana hatia.Ikumb...
Rapa wa Marekani mwenye asili ya Canada, Drake ameripotiwa kufuta kesi aliyoifungua dhidi ya Spotify na Universal Music Group baada ya kuzishutumu taasisi hizo kwa kuanzisha m...
Mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani, Diddy Combs anakabiliwa na kesi nyingine ya madai ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kufanyika mwaka 2000.Kwa mujibu wa hati zilizopatikan...
Rapa kutokea nchini Marekani Nicki Minaj ameshtakiwa na aliekuwa meneja wake wa zamani Brandon Garret kwa kumshambulia na kumpiga hali iliyosababisha mfadhaiko wa kihisia kwa ...
Kesi inayomkabili rapa wa Marekani Lil Durk iliyopangwa kusikilizwa Januari 7 imehairishwa hadi Oktoba 13, 2025 kufuatia na makubaliano yaliyofanywa kwa pande mbili wanasheria...
Mke wa zamani wa nyota wa NHL Evander Kane, Anna Kane ameweka wazi kuwa yeye ni moja ya watu ambao wamewasilisha mashitaka yao kufuatia na kesi zinazomkabili Diddy Combs za un...
Kesi iliyokuwa ikimkabili mtoto wa mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani Diddy, Christian Combs ya unyanyasaji wa kingono imerudishwa tena mahakamani ambapo mapema wiki hii kijana ...