Mwanamuziki maarufu wa Pop duniani, Rihanna (36) alifika mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi inayomkabili mpenzi wake na mzazi mwenzie, Asap Rocky (36) ambaye anashtakiwa k...
Waendesha mashitaka wa serikali ya Marekani wameripotiwa kuleta waathiriwa wengine wawili wanaodaiwa kuwa na madai mapya dhidi ya ‘Rapa’ Diddy.Kwa mujibu wa tovuti...
Baada ya kuandamwa na kesi mfululizo za unyanyasaji wa kingono, hatimaye rapa Diddy ameamua kurudisha mashambulizi. Anadaiwa kufungua kesi ya madai kwa mtu aliyedai kuwa na vi...
Kesi inayowahusisha ndugu wawili Lyle (56) na Erik Menendez (53), inatarajiwa kusikilizwa tena mahakamani baada ya kugundulika kuwa ndugu hao huwenda wakawa hawana hatia.Ikumb...
Rapa wa Marekani mwenye asili ya Canada, Drake ameripotiwa kufuta kesi aliyoifungua dhidi ya Spotify na Universal Music Group baada ya kuzishutumu taasisi hizo kwa kuanzisha m...
Mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani, Diddy Combs anakabiliwa na kesi nyingine ya madai ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kufanyika mwaka 2000.Kwa mujibu wa hati zilizopatikan...
Rapa kutokea nchini Marekani Nicki Minaj ameshtakiwa na aliekuwa meneja wake wa zamani Brandon Garret kwa kumshambulia na kumpiga hali iliyosababisha mfadhaiko wa kihisia kwa ...
Kesi inayomkabili rapa wa Marekani Lil Durk iliyopangwa kusikilizwa Januari 7 imehairishwa hadi Oktoba 13, 2025 kufuatia na makubaliano yaliyofanywa kwa pande mbili wanasheria...
Mke wa zamani wa nyota wa NHL Evander Kane, Anna Kane ameweka wazi kuwa yeye ni moja ya watu ambao wamewasilisha mashitaka yao kufuatia na kesi zinazomkabili Diddy Combs za un...
Kesi iliyokuwa ikimkabili mtoto wa mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani Diddy, Christian Combs ya unyanyasaji wa kingono imerudishwa tena mahakamani ambapo mapema wiki hii kijana ...
Ammar MasimbaRapa maarufu nchini Marekani kutokea jimbo la Georgia, Atalanta Jeffery Williams ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa Lebo ya Muziki ya YSL ameruhusiwa kurudi nyumba...
Mkali wa Hip-Hop wa Marekani Sean “Diddy” Combs ameripotiwa kuhusishwa katika kesi mpya 120 za unyanyasaji wa kingono zinazotarajiwa kuwasilishwa mahakamani siku 3...
Ikiwa zimetimia siku 14 tangu mkali wa Hip Hop Sean Combs 'Diddy' kuishi katika kuta za gereza hatari zaidi Marekani la Metropolitan, kwa upande wa mastaa aliyowaacha uraini m...
Mwanamuziki wa Marekani, Sean "Diddy" Combs, anayekabiliwa na mashtaka ya uhalifu wa kingono, anaendelea kuzuiwa kutoka mahabusi hadi kesi yake itakaposikilizwa tena.Hakimu wa...