16
Jeraha la shingo sababu ya Usher kuhairisha show
Baada ya mashabiki kukerwa na Usher kuhusiana na tamko lake la kuhairisha show kwa lengo la kupumzika, hatimaye msanii huyo amefunguka sababu kuu iliyomfanya ahairishe show hi...
15
Walker kuingia uwanjani tena
‘Kocha’ wa #ManchesterCity, #PepGuardiola amedokeza kuwa mchezaji wao #KyleWalker anaweza kurudi uwanjani kwa ajili ya mchezo wao  wa ‘ligi ya Mabingwa ...
22
Majeraha ya shaw yawa kikwazo kwa Man United
Manchester United huenda ikamkosa beki wake wa kushoto, Luke Shaw hadi mwisho wa msimu kutokana na majeraha ya misuli. Shaw alipata majeraha hayo kwenye ‘mechi’ dh...
12
Mwanariadha Kenya afariki dunia
Mwanariadha wa mbio ndefu kutoka nchini Kenya, Kelvin Kiptum na ‘kocha’ wake raia wa Rwanda, Garvais Hakizimana wamefariki dunia kwa ajali ya gari, jana Jumapili k...
27
Roboti yamshambulia muhandisi
Mhandisi wa programu wa #Tesla kutoka nchini Marekani mbaye jina lake halijawekwa wazi amepata majeraha mkononi na mgongoni baada ya kushambuliwa na ‘roboti’ kweny...
27
Mason Mount hakupata jeraha, Ni mbinu za ‘kocha’
Mchezaji kiungo wa ‘klabu’ ya Manchester United, Mason Mount siku ya jana alirejea uwanjani katika mchezo wa Man U dhidi ya Crystal Palace baada ya kukaa nje kwa t...
11
Majeraha ya wachezaji yampa hofu kocha wa Chelsea
Taarifa zinaeleza kuwa star mpya aliyesajiliwa na ‘klabu’ ya #Chelsea, #RomeoLavia ameumia kifundo cha mguu wakati wa mazoezi week iliyopita huku Carney Chukwuemek...
24
Otile atangaza kuacha muziki ‘albamu’ yake isipofanya vizuri
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya Otile Brown ameweka wazi kuwa ataacha muziki endapo albamu yake anayotarajia kutoa isipofika angal...
09
Rasmus kukosa ‘Mechi’ kadhaa
Mchezaji aliyetambulishwa hivi karibuni na ‘klabu’ ya Manchester United, #RasmusHojlund amepata majeraha mgongoni na inadaiwa tatizo lake ni kubwa ambalo litapelek...

Latest Post