20
Talaka sio vita, Jennifer Na Ben waonekana pamoja
Mwanamuziki Jennifer Lopez na aliyekuwa mumewe Ben Affleck wameendelea kuonekana pamoja licha ya wawili wao kutarajia kupeana talaka.Lopez na Ben walionekana pamoja katika usi...
21
Ndoa ya Lopez yapumulia mipira
Mwigizaji na mwanamuziki wa Marekani, Jennifer Lopez, ameripotiwa kufungua shauri la kudai talaka kwa mumewe, Ben Affleck.Kwa mujibu wa TMZ, Lopez amewasilisha shauri hilo mah...
13
Watoto wamkutanisha Jennifer Lopez na Ben Affleck
Baada ya kuwepo kwa tetesi za mwanamuziki #JenniferLopezi na mumewe #BenAffeck kutengana na kuuza nyumba yao waliyokuwa wakiishi, hatimaye wawili hao wamekutana tena katika ma...
10
Jennifer Lopez na Ben wauza nyumba, Wadaiwa kuachana
Mwanamuziki wa Marekani Jennifer Lopez na mumewe Ben Affleck wanadaiwa kuachana baada ya kuuza nyumba yao waliyoijenga pamoja kwa dola 60 milioni. Kwa mujibu wa tovuti ya TMZ ...
14
Mwanamitindo aliyewahi kumvalisha Jennifer Lopez afariki dunia
Aliyekuwa mwanamitindo maarufu nchini Italia, #RobertoCavalli mwenye umri wa miaka 83 maarufu kama ‘King of leopard print’ amefariki dunia jana Jumamosi. Cavalli a...
06
Anayedai kubakwa na CR7 aibuka tena mahakamani
Mwalimu na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kathryn Mayorga, aliyedai kubakwa na nguli wa ‘soka’ Cristiano Ronaldo amerudisha kesi hiyo tena mahakamani kwa leng...
05
Aliyempata mbwa wa Lady Gaga aambulia patupu
Mwanamuziki maarufu nchini Marekani Lady Gaga hatoruhusiwa tena kumlipa mwanamke ambaye alirudisha mbwa wake baada ya kuibiwa mwaka 2021 ambapo pesa hiyo aliahidi kama zawadi....
29
Guchi apanga kuvujisha nyimbo aishutumu lebo yake
Mwanamuziki wa Afropop kutoka nchini Nigeria, Guchi ameelezea kutoridhishwa kwake na lebo yake ya PG Records Entertainment kwa kuchelewesha kuachia wimbo aupendao. Guchi ana a...
24
R.Kelly ahukumiwa miaka 20 jela
Mwanamuziki mkongwe kutoka Nchini Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 20 Jela huko Chicago kwa kesi yake ya uhalifu wa Kingono. Waendesha mashtaka nchini humo wal...
18
Ben Affleck na Jennifer Lopez wafunga ndoa chini chini Las Vegas
Waigizaji maarufu nchini Marekani, Jennifer Lopez na Ben Affleck wamefunga ndoa mjini Las Vegas nchini humo ikiwa ni miaka 17 baada ya kusitisha uchumba wao wa kwanza.Waw...
11
Jennifer lopez achumbiwa tena
Muigizaji na muimbaji Jennifer Lopez ametangaza kuwa atafunga pingu za maisha baada ya wapenzi hao kusitisha harusi yao. Lopez mwenye umri wa miaka 52, alidokeza kuwa amechumb...
08
Jennifer lopez adaiwa kufunga ndoa
Moja ya story huko mitandaoni ni uwepo wa tetesi ambazo zinadai kuwa msanii Jennifer Lopez na mchumba wake Ben Affleck wanaelekea kufunga ndoa. Suala hilo limeibuka baada ya J...

Latest Post