02
Bosi ZIFF ataka wasanii kutunga filamu zinanzohusu jamii
Mwenyekiti wa Tamasha la Filamu la Kimataifa (ZIFF), Chande Omar amesema wanatarajia kuwasukuma wasanii kucheza na kutunga filamu zinazohusu changamoto za jamii na siyo mapenz...
13
Maokoto yanavyowafanya wasanii wa vichekesho kukimbilia YouTube
Siku za hivi karibuni huwenda mambo ni rahisi kwa wasanii wa vichekesho baada kuyakimbiza maudhui yako katika mitandao ya kijamii kama YouTube tofauti na ilivyokuwa zamani. Ak...
27
Faida na hasara za biashara mtandaoni
Na Aisha Lungato Maendeleo makubwa katika masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) imeenda kubadilisha nyanja mbalimbali ya maisha yetu ikiwemo namna tunavyowas...
30
Rihanna: Nitavaa kawaida sana kwenye Met Gala
Ikiwa zimebaki siku chache tuu kuelekea tamasha la mitindo duniani lijulikanalo lijulikanalo kwa jina la ‘Met Gala’ mwanamuziki Rihanna amedai kuwa mwaka huu atava...
02
20 percent: Siwezi kujishusha kwa sababu ya pesa
Aisha Charles Isikiwapo ngoma iitwayo Mama Neema au Money Money, wengi inawakumbusha miaka 13 iliyopita, kwa sababu ndiyo nyimbo zilizokuwa zikifanya poa kutoka kwa mwanamuzik...
02
Utunzaji wa ngozi kwa wanaume
Aisha Charles Hello guys! acha nikusalimu kwa jina la fashion. Leo tumeingia kwa undani zaidi katika masuala ya urembo, tumekusogezea jinsi ya kutunza ngozi kwa wanaume. Hivi ...
31
Atembea na cheti kuthibitisha umri wake
Mwanaume mmoja kutoka nchini #Urusi aliyefahamika kwa jina la Dennis Vashurin mwenye umri wa miaka 36 imemlazimu kutembea na cheti chake cha kuzaliwa kwasababu ya kuthibitisha...
28
Bifu la Diddy na 50 Cent ladaiwa chanzo wivu wa mapenzi
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka nchini Marekani Diddy, na 50 Cent kutokuwa na maelewano mazuri kwa kipindi cha muda mrefu hatimaye imedaiwa kuwa bifu la wawili hao limetokana...
28
Burna Boy awatolea povu wanaosambaza picha yake ya zamani
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria, Burna Boy amewatolea povu baadhi ya watu wanaosambaza na kuinanga picha yake ya zamani akiwa amenyoa ndevu huku akiwataka watu hao kuj...
27
Rema kujenga chuo cha muziki
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Rema (23) ameripotiwa kuwa na mpango wa kuanzisha na kujenga chuo cha muziki Barani Africa. Chuo hicho ambacho kinadaiwa kugaharimu N20...
06
Zuchu aomba radhi kwa jamii
Baada ya kuomba radhi kupitia ‘Lebo’ yake ya WCB kufuatiwa na kutumia lugha isiyofaa katika show yake ya Fullmoon Kendwa Visiwani Zanzibar na kupelekea kufungiwa k...
21
Nedy Music: Nimejipanga kiushindani 2024
Msanii wa Bongo Fleva, Nedy Music amesema wimbo wake aliomshirikisha Barnaba unaoitwa Mapenzi, umemfungulia njia kwa mwaka 2024. Amesema wimbo huo una ujumbe mzito na tangu au...
21
Huu ni muda wa miss world kuleta taji Afrika
Msimu wa 71 wa shindano la kumpata mlimbwende wa dunia (Miss World) ulianza rasmi Februari 18, 2024, na utaendelea kwa siku 21 na kufikia tamati Machi 9 nchini India. Washirik...
18
Davido mmliki mpya wa mtandao wa kijamii
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #Davido, ameingia katika teknolojia ya kutengeneza mtandao wa kijamii ‘Chatter’ambapo utajihusisha na mwaliko maalum kwa ubunif...

Latest Post