20
Mwanahawa Ally rasmi kuacha muziki, maradhi yatajwa
Msanii mkongwe wa Taarab nchini Tanzania, Mwanahawa Ally, ameamua kuacha kuimba kutokana na maradhi yanayomsumbua.Hayo yamebainishwa  na Zamaradi Mketema wakati akizungum...
15
Zari huenda akafunguliwa kesi ya unyanyasaji
Afisa mkuu wa polisi Uganda, Jackson Mucunguzi, ameweka wazi kuwa Shakib Lutaaya anaweza kumfungulia kesi ya unyanyasaji wa kisaikolojia mke wake Zarinah Hassan ‘Zari&rs...
27
Mtanzania anayeigiza kama Sokwe alia na kejeli za watu
Hassan Michael maarufu kama ‘Hassan Gorila’ Mtanzania mwenye kipaji cha kuigiza miondoko ya Sokwe alia na baadhi ya watu kukejeli kipaji chake.Amesema kati ya chan...
12
Mwakinyo ajutia usingizi wake
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Hassan Mwakinyo ameeleza kuwa anajutia usingizi wake huku akidai hakuna ushindi wa namna ile, hii ni baada ya kushuhudia pambano la Twaha Kid...
12
Amsaidia mwanamke kujifungua wakiwa kwenye ndege
Mwanaume mmoja aitwaye Hassan Khan (28) aliyekuwa safarini akitokea mapumziko ambaye pia ni Daktari ameingia kwenye vichwa vya habari katika televisheni mbalimbali baada ya ku...
07
Zari na shakibi wamaliza tofauti zao
Baada ya kuzuka sintofahamu kwa wanandoa Zari pamoja na mumewe Shakibi kuwa wameachana, wawili hao wamethibitisha kuwa wapo pamoja baada ya kuonekana Saudi Arabia.Kupitia ukur...
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
24
Mume wa Zari afungasha virago, arudi Uganda
Aliyekuwa mume wa mfanyabiashara Zari Hassan, Shakibi Lutaaya anadaiwa kufungasha virago vyake na kurudi nchini Uganda.Hii inakuja baada ya kusambaa kwa stori kupitia mitandao...
03
Rick Ross atoa heshima kwa Rais Samia
Baada ya kudai kuwa anampango wa kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa wakubwa Barani Africa ‘Rapa’ kutoka Marekani #RickRoss ameendelea kuonesha upendo wake ...
27
Baada ya Beatrice zamu ya Salama, kujibiwa na Rais Samia
Ikiwa imepita siku moja tuu tangu mbunifu wa mavazi Beatrice Mwalingo, kujibuwa ‘komenti’ na Rais Samia Suluhu Hassan, sasa ni zamu ya Mtangazaji Salama Jabir, amb...
25
Aliyeahidiwa cherehani na Rais Samia afunguka
Unaweza kusema ni asubuhi ya kheri kwa Beatrice Mwalingo (28) fundi nguo ambaye amepewa ahadi ya kununuliwa cherehani na Rais Samia Suluhu Hassan.Hiyo ni baada ya dada huyo am...
20
Rais samia akutana na Motsepe Chamwino
Rais Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya bendera ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kama kumbukumbu kutoka kwa Rais wa Shirikisho hilo Dk Patrice Motsepe Ikulu Chamw...
10
Mwakinyo afungiwa kushiriki ngumi
Bondia maarufu nchini Hassani Mwakinyo amefungiwa kupanda ulingoni kwa muda wa mwaka mmoja na faini ya tsh 1 milioni kufuatia utovu wa nidhamu wa kugomea kupanda ulingoni. Mwa...
29
Mwakinyo: Nina asilimia 5 tu za kupanda ulingoni
Bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo ameendelea na msimamo wake wa kutopanda ulingoni kutokana na sakata lake la kutofautiana katika makubaliano na ma-promota.Kupitia ukurasa...

Latest Post