22
Mchekeshaji Eric Omondi aachiwa huru
Baada ya mpenzi wa mchekeshaji Eric Omondi, Lynne Njihia kudai kuwa polisi wamekataa kuhusika na tukio la kumkamata Omondi, hatimaye mchekeshaji huyo ameachiwa huru.Kwa mujibu...
21
Polisi wakanusha kumshikilia Eric Omondi
Baada ya kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha mchekeshaji wa Kenya, Eric Omondi akiwa amedakwa na polisi, mpenzi wa mchekeshaji huyo, Lynne Njihia amedai kuwa polisi wame...
21
Eric Omondi akamatwa tena na polisi
Mchekeshaji Eric Omondi amekamatwa tena na polisi nchini Kenya, wakati alipokuwa kwenye maandamano yanayoendelea nchini humo ya kupinga ongezeko la kodi katika Muswada wa Fedh...
04
Eric Omondi adakwa na polisi Kenya
Mchekeshaji Eric Omondi anashikiliwa na maafisa wa usalama nchini Kenya, kwa kuongoza maandamano nje ya Jengo la Bunge.Omondi alikamatwa baada ya kuongoza Mama wauza mboga kat...
23
Hatimaye Eric Omondi afuchua sura ya mwanaye
Ikiwa ni siku chache zimapita tangu mchekeshaji kutoka nchini #Kenya, #EricOmondi kulipwa zaidi ya Tsh 81 milioni kufichua sura ya mtoto wake wa kike #Kyla, hatimaye ameonesha...
15
Eric Omondi akubali kwenda gerezani kutumikia kifungo
Inadaiwa mshekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya Eric Omondi na wenzake wamehukumiwa kwenda jela kwa mwezi mmoja au kulipa faini laki moja na sabini.Eric na wenzake hao 15 wam...
29
Eric Omond kuingia kwenye siasa
Mchekeshaji kutoka #Kenya #Eric Omondi inadaiwa huwenda akaingia katika siasa hivi karibuni kama mgombeaji wa kiti cha ubunge eneo la Lang'ata katika uchaguzi mkuu ujao, hiyo ...
25
Eric Omondi kuingia live siku nne mfululizo bila kulala
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Erick Omondi ameeleza kuwa atatumia siku nne mfululizo bila kulala kuanzia siku ya leo Ijumaa saa mbili usiku hadi Jumatatu, ataingia live kwen...
14
Eric Omondi atua Uganda na vazi la gunia
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi, ameendelea kuwafurahisha watu kwa aina ya ubunifu wa  mavazi anayotumia kuingilia kwenye nchi mbalimbali, awamu hii Eric yupo...
08
Eric Omondi na mpezi wake watarajia kupata mtoto
Mchekeshaji kutoka nchini Kenya Eric Omondi anatarajia kuitwa baba siku chache zijazo baada ya kuweka wazi kuwa mpenzi wake anaejulikana kwa jina la Lynne ni mjamzito. Rais h...
18
Omondi aitaka serikali ya Kenya kuwajali wananchi wake
Mchekeshaji kutoka Kenya Eric Omondi amewalipia billi akina mama wa tano waliokuwa kidaiwa katika hospitali waliojifungulia, baada ya kujua kuwa baadhi yao walikuwa na madeni ...
29
Eric Omondi : amapiano imeua muziki wa bongo fleva
Moja ya story ambazo zinaendelea kuleta gumzo katika mitandao ya kijamii ni hii ya mchekeshaji kutokea pande za Kenya, Erick Omondi ambaye amefunguka na kusema Amapiano imeua ...

Latest Post