14
Azindua manukato yaitwayo talaka baada ya kuacha na mumewe
Binti wa mfalme kutoka Dubai Princess Mahra bint Mohammed bin Rashid Al Maktoum, ameripotiwa kuzindua manukato yaitwayo ‘Divorce’ (Talaka) baada ya kuachana na mum...
17
Kijana wa miaka 15 azindua sabuni ya kutibu saratani ya ngozi
Kijana mmoja aitwaye Heman Bekele (15) kutoka Fairfax, Virginia ameripotiwa kuvumbua sabuni inayoweza kuzuia na kutibu saratani ya ngozi.Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini...
11
Celine Dion kutumbuiza olimpiki Paris 2024
Mwanamuziki mkongwe kutoka nchini Canada, Celine Dion ameripotiwa kutumbuiza  katika sherehe za ufunguzi wa michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 licha ya kuwa na ugonjwa wa ...
29
Japan kuzindua roboti anayecheka kama binadamu
Wanasayansi kutoka Japan wako mbioni kuzindua roboti lenye ngozi hai ambalo litakuwa na uwezo wa kucheka pamoja na kutabasamu kama binadamu.Ubunifu huo ulioongozwa na watafiti...
29
Mtoto wa miaka 2 awashangaza majaji shindano la AGT
Tazama mtoto wa miaka 2 aitwaye #Devan akionesha ufundi wake kwenye somo la hisabati katika shindano ya kusaka vipaji la America's Got Talent linaloendelea nchini&nb...
07
Japan yazindua intaneti ya 6G
Makampuni ya mawasiliano ya simu nchini Japan, DOCOMO, NTT Corporation, NEC Corporation, na Fujitsu yamezindua kifaa cha kwanza cha 6G dunaini ambacho hutoa kasi ya utumiaji d...
02
Liverpool yazindua uzi wa mwaka 1984
Liverpool imezidua jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao 2024-25, huku mashabiki wakiifananisha na ya mwaka 1984 kutokana na muundo wake. Liverpool inajiandaa na maisha  bila...
01
Mfahamu mwanamke wa kwanza kugundua taulo za kike (Pads)
Maisha ya sasa siyo sawa na ya zamani, wakati mwaka 1920 wanawake walikuwa wakipata wakati mgumu unapokuja wakati wa siku zao za mzunguko za hedhi, huku baadhi yao wakitumia v...
27
Utafiti: Paka hufurahi zaidi kuishi na binadamu wema
Kwa mujibu wa watafiti katika maabara ya Human-Animal Interaction (HAI) ya Chuo Kikuu cha Oregon State cha nchini Marekani webaini kuwa paka wanafurahia maisha zaidi wakiishi ...
19
Basata yazindua linki ya uwasilishaji kazi za wasanii
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), limetangaza mfumo rasmi utakaotumika kuwasilisha kazi katika tuzo za muziki Tanzania (TMA). Akizungumza na waandishi wa habari, leo Aprili 1...
30
Davido azindua kozi ya muziki na sanaa Uganda
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido amezindua ‘Kozi’ mpya ya Muziki na Sanaa katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Afrika Mashariki Kampala nchini Uganda....
16
India yazundua roboti wa kwanza mwalimu
Kampuni ya Makerlabs Edutech imezindua roboti wa kwanza mwalimu aitwaye Iris ambaye atafundisha katika shule ya Kerala, pamoja na Shule ya Sekondari ya Juu ya KTCT, Thiruvanat...
28
Adidas mbioni kuzindua viatu vya Bob Marley
Kampuni maarufu inayojihusisha na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali ya Adidas iko mbioni kuzindua toleo maalumu la viatu vya marehemu mkali wa reggae kutoka Jamaica Bob Marley...
23
Ocean builders na mpango kuzindua nyumba juu ya bahari
Watu kuishi katika sehemu za kawaida kama nchikavu, katika misitu na sehemu nyingine ni jambo la kawaida lakini binadamu kuishi katikati ya maji inaweza ikawa inashangaza.Kamp...

Latest Post