19
Tyla: Mtoto wa 2000 anavyomfunda Diamond
Mwimbaji wa Afrika Kusini, Tyla, 22, hivi karibuni ameshinda tuzo ya MTV Video Music Awards (VMAs) 2024, mafanikio haya ni somo lingine kwa staa wa Bongofleva, Diamond Platnum...
11
Sababu ya Dj kula sahani moja na wasanii
Sio ajabu kuona Ma-DJ nchini nao wanakuwa maarufu kama ilivyo kwa wasanii wa Bongofleva.Wamekuwa wakiandaa shoo zao wenyewe, kushinda tuzo za kimataifa, kuwa na idadi kubwa wa...
04
Diamond ajitosa anga za kina Bill Gates
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' amewekawazi kuwa ndoto yake kubwa kwa sasa ni kuwa tajiri namba moja duniani huku akiweka ahadi ya kuwa mtan...
29
Diamond Platnumz afunguka kuhusu Komasava
Wakati ngoma ya mkali wa Bongo Fleva nchini Diamond Platnumz ya ‘Komasava’ ikiendelea kukosha nyoyo za watu kutoka katika mataifa mbalimbali msanii huyo ameweka wa...
21
Diamond na Rekodi mpya
Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini, Diamond Platnumz, ameendelea kuonesha ukubwa wake baada ya kufikisha zaidi ya streams milioni 400 kwenye mtandao wa kuskiliza mziki wa &lsqu...
30
Harmonize atupa dongo gizani, Amtania Ibraah
Mwanamuziki wa #BongoFleva, Harmonize amefanya utani kwa #Ibraah ambaye ni msanii anayemsimamia katika lebo yake ya Konde Gang akimwambia kuwa yeye ndiyo amemtoa kimuziki. Har...
24
Baba Levo: Mungu baba kama ni kosa kumshabikia Diamond nitoe roho
Mwanamuziki na mtangazaji #BabaLevo ammwagia sifa #DiamondPlatnumz Kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-share video ya nyota huyo wakati anatumbuiza na kuandika ujimbe akisem...
19
Hudson humwambii kitu na ‘Shu’ ya Diamond
Mchezaji wazamani wa ‘klabu’ ya #Chelsea mbaye kwa sasa anachezea ‘klabu’ ya #Nottingham, Hudson Odoi ameonesha kuburudishwa na wimbo wa DiamondPlatnum...
10
Je kuna ubaya wowote msanii kutumia jeneza kama ubunifu
Kutokana na ubunifu wa mwanamuziki DiamondPlatnumz kupanda jukwaani na majeneza, kumezuka ubishani kwa wadau wa muziki huku wengine wakidai si sawa na wengine wakisifia ubunif...
19
Diamond alaumiwa kuiga wimbo wa Spyro
Kwa mara nyingine tena nyota wa muziki Tanzania #DiamondPlatnumz amejikuta akiingia katika tuhuma za kuiga miondoko ya nyimbo za wasanii wengine kutoka maeneo mbalimbali hasa ...
12
Wasanii wa bongo kwenye tuzo za The Headies
Oyaaaa! wanangu vipi kweli hii julai ni yetu au tunyamaze tu kwanza, basi bwana ukiaachana na kuipania number one trending kuna hii kubwa kuliko ni kuhusian na waandaji wa Tuz...
05
Diamond amkabidhi million 10 mdaka mishale
Mkurugenzi wa Wasafi Media na mwanamuziki mashuhuri Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ametimiza ahadi yake ya kumkabidhi zawadi mlinda mlango au unaweza kumuitwa...
12
Diamond mbioni kufungua shirika la ndege
Mmmmmmmmh! Usisema maisha magumu sema maisha yangu magumu mwanangu sana, basi bwana Msanii Diamond Platnumz amefunguka na kuweka wazi kuwa yupo katika harakati za kuanzis...
13
Diamond Platnumz
Name; Nasibu Abdul Juma Birthdays; October,2 Kazi; Musician  Nasibu Abdul also known as Diamond Platnumz or Simba is an Tanzanian Musician, Dancer, Busnessman and CEO of ...

Latest Post