Mpenzi wa mchezaji Cristiano Ronaldo, Georgina Rodriguez ameonesha kum-sapoti, na kumpa heshima mpenzi wake huyo kwa kuvalia vazi lililoandikwa jina la CR7 katika maonesho ya ...
Nyota wa ‘klabu’ ya Al Nassr FC kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameibuka kidedea kwa kushinda Tuzo ya Maradona kutoka Globe Soccer kama mfungaji bora kwa mw...
Baadhi ya watu maarufu duniani wamekuwa wakitamani na wengine kuwekeza kwenye umiliki wa ndege binafsi, wapo baadhi ya wanamuziki ambao tayari wanamikili vyombo hivyo vya usaf...
Nguli wa ‘soka’ kutoka nchini Portugal Cristiano Ronaldo amejikuta katika janga ambalo hakulitegemea baada ya vyombo vya habari nchini Iran kuripoti kuwa mchezaji ...
Mwalimu na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kathryn Mayorga, aliyedai kubakwa na nguli wa ‘soka’ Cristiano Ronaldo amerudisha kesi hiyo tena mahakamani kwa leng...
Tazama mashabiki kutoka nchini Iran walivyo kimbiza gari alilopanda nyota wa Al Nassr Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake huku ‘Klabu’ hiyo ikilazimika kusitish...
'Klabu' ya Al-lttihad ya Saudi Arabia inadaiwa kuwa inauhakika waa kupata ‘saini’ ya nyota wa 'klabu' ya Liverpool, Mohamed Salah kabla ya dirisha lao kufungwa.'Ti...
Mchezaji kutoka ‘klabu’ ya #Al-Nassr, Cristiano Ronaldo ameeleza sababu ya kutomjengea mama yake na badala yake anaishi naye licha ya kuwa na utajiri wakutos...
Cristiano Ronaldo ameendelea kupokea heshima utoka kwa watu na ‘vilabu’ mbalimbali, awamu hii mchezaji wa #RealMadrid, mwenye namba saba mgongoni Vinicius Junior, ...
Baada ya kuzuka tetesi za muda mrefu kuhusiana na mshambuliaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Senegal Sadio Mane, hatimaye usiku wa kuamikia leo ametambulishwa rasmi ...
Aliyekuwa mke wa Kanye West, Kim Kardashian ameacha maswali mengi kwa mashabiki baada ya kusafiri kwa umbali mrefu kwa ajili ya kwenda kushuhudia mechi za wachezaji mashuhuri ...