Mwigizaji kutoka Marekani ambaye amekuwa akihusishwa kwenye kesi za Diddy, Michael B. Jordan ameripotiwa kuwa hatotoa ushahidi katika kesi hiyo ya usafirishaji wa binadamu kwa...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi amesema muziki wa singeli upo mbioni kutangazwa rasmi kuwa sehemu ya Orodha ya Urithi wa Dunia.Kabudi ameyase...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamagamba Kabudi leo Mei 7,2025 akiwa bungeni jijini Dodoma amesema kwa mwaka 2024/25 migogoro ya wasanii imepungua.Waziri Kab...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa lipo mbioni kuanzisha muundo wa mikataba ya kazi za muziki, ambao unalenga kupunguza changamoto zinazoikumba sekta hiyo nchi...
Kati ya kesi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ni ya rapa kutoka Marekani Sean “Diddy” Combs ambapo mapema jana Mei 5,2025 kesi hiyo ilisikilizwa huku Diddy akikana m...
Diljit Dosanjh mwanamuziki na mwigizaji kutoka Punjab, naye alihudhuria kwa mara ya kwanza katika Met Gala 2025, huku vazi lake likitajwa kuwa vazi bora kuwahi kutokea katika ...
Met Gala (Metropolitan Museum of Art Costume Institute Gala) ni tukio la kifahari la kila mwaka linalofanyika jijini New York, Marekani, kwa lengo la kukusanya fedha kwa ajili...
Kama ilivyo desturi kwa mwanamuziki nyota kutoka Barbados anayeishi Marekani, Rihanna ameendelea kutumia matukio maalumu kufichua ujauzito wake. Safari hii, ameonesha ujauzito...
Baada ya kuachana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii hatimaye Kajala na Harmonize, wameuacha umma kwenye mshangao baada ya kuonekana katika ukaribu unaodhaniwa kuwa ...
Zimesalia saa chache, dunia kushuhudia tukio kubwa la mitindo 'Met Gala' linalotarajiwa kufanyika leo Mei 5, 2025 katika jumba la makumbusho Metropolitan Museu...
Kuna watu wetu wamegoma kuzeeka. Kama siyo kiakili basi kimwili. Wapo wanaotaka miili ya 2000 iwe vilevile hadi leo. Na mawazo yao ya 2000 pia yaendelee kuwa vilevile hadi leo...
Mmiliki wa ukumbi wa Sphere uliopo Las Vegas amemtumia Beyoncé barua ya kuzuia na kusitisha (cease and desist) kipande cha video kilichorekodiwa na mashabiki katika tam...
Mwigizaji maarufu kutoka Marekani Robert Downey Jr anatajwa kuwa mwigizaji aliyevuna mkwanja mrefu katika kampuni ya Marvel (Marvel Cinematic Universe MCU) kufuatia na uhusiak...
Mwanamitindo maarufu nchini, Calisah amesema kwa sasa hataki tena mambo ya kidunia aliyokuwa akiyafanya mwanzo badala yake amemrudia Mungu.Akizungumza na Mwananchi Scoop Calis...