20
Diddy apata mshtuko, awekwa chini ya uangalizi
Ikiwa wiki inaenda kukatika huku hatma ya rapa Diddy ikiwa bado haijajulikana mwanamuiziki huyo amewekwa chini ya uangalizi ili asijiue.Kwa mujibu wa tovuti ya People imeeleza...
12
Tyla awapiga chini Burna Boy, Chris Brown, Usher
Mwanamuziki wa Afrika Kusini Tyla amewapiga chini kwa mara nyingine wasanii wenzake katika Tuzo za MTV VMAs 2024 kipengele cha Best Afrobeats zilizotolewa usiku wa kuamkia leo...
29
Diamond, Alikiba kutoana jasho tuzo za TMA
Kamati ya uandaaji wa Tuzo za Muziki nchini (TMA) leo Agosti 29 imetangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo katika vipengele vitatu ambavyo ni Mwanamuziki Bora wa Kium...
15
Bodi ya ngumi Uingereza kuwanoa Watanzania wawili
Bondia wa zamani wa ngumi za kulipwa, Amos Mwamakula na aliyekuwa kocha wa mabondia wa kike nchini Comoro, Halina Abdallah Ally wamepewa fursa ya kujifunza namna ya kuwahudumi...
08
Tamasha la Taylor Swift lapigwa chini
Matamasha matatu ya mwanamuziki Taylor Swift yaliyopangwa kufanyika nchini Austria yamesitishwa kufuatia shambulio la kigaidi lililopangwa kufanyika jijini Vienna.Tishio hilo ...
08
TBT za mastaa ni hamasa kwa mashabiki
Kila ifikapo siku ya Alhamisi watu hupamba mitandao ya kijamii kwa picha na video za matukio yaliyopita. Matukio hayo hugusa sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye michezo, familia ...
03
Wasanii wa filamu Bongo watua Korea
Wasanii wa filamu Tanzania wamewasili Korea kwenye ziara yao ya kujifunza mambo ya filamu. Baadhi ya mastaa wa filamu ambao wapo kwenye ziara hiyo ni Irene Paul, Wema Sepetu, ...
27
Sanamu layeyuka kisa joto kali
Sanamu la aliyewahi kuwa rais wa Marekani na mwanasheria Abraham Lincoln lililopo Washington DC, limeripotiwa kuyeyuka huku sababu ikitajwa ni joto kali nchini humo ambapo mpa...
27
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac aomba kuachiwa huru
Mshukiwa wa mauaji ya ‘rapa’ kutoka Marekani Tupac Shakur, Duane “Keefe D” Davis, amewasilisha ombi la kuachiwa huru kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa...
25
Ajiziba uso ili aache kuvuta sigara
Kuacha sigara ni mchakato ambao baadhi ya watumiaji wamekuwa wakigonga mwamba kila uchwao, lakini kwa Ibrahim Yücel kutoka Uturuki ilikuwa rahisi baada ya kutengeneza kof...
25
Nandy asimulia safari yake ya muziki, Amtaja Zuchu
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Nandy, amesimulia harakati zake za kupambania ndoto zake za kuwa msanii maarufu huku akidai kuwa kuna msanii kutoka kundi la THT alikuwa akimbania....
25
Will Smith kukiwasha tuzo za Bet
Mwigizaji na ‘rapa’ wa Marekani Will Smith ameripotiwa kurudi tena jukwaani kama mwanamuziki ambapo anatajiwa kutumbuiza katika Tuzo za BET. Katika taarifa iliyoto...
19
Burna Boy ana jambo lake hivi karibuni
Mkali wa afrobeat kutoka Nigeria, Burna Boy amedai kuwa ngoma yake ijayo ndio itakuwa ngoma bora kushinda ngoma zote zilizotoka mwaka huu. Mwanamuziki huyo ameyasema hayo kwen...
10
Mashemeji wacharuka, Wadai kanye anamchukulia mkewe kama mradi
Baada ya mwanamuziki KanyeWest na mkewe Bianca Censori kutokuwa kwenye maelewano mazuri kwa hivi karibuni, marafiki wa mwanamke huyo wanadai kuwa Kanye anamchukulia mkwewe kam...

Latest Post