Baada ya jinsia ya mtoto wa Marioo na Paula kutambulika mwanamuziki wa Bongo Fleva Billnass amemkaribisha marioo kwenye chama cha wazazi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagr...
Chama cha Soka cha Argentina (AFA) kimepanga kustaafisha 'jezi' namba 10 ya Lionel Messi ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Diego Maradona.
Mipango ya kuistaafisha 'jezi' hiyo ...
Uongozi wa ‘klabu’ ya Simba umewasimamisha kazi wachezaji Nassor Kapama na Clatous Chota Chama kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu.
Kupitia ukurasa wa Instagr...
Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Simba Clatous Chota Chama ametoa ushauri kufuatia yanayo endelea katika ‘timu’ yake kwa kueleza kuwa kwa sasa haina haja ya wao ...
Mashabiki kutoka katika Tawi la Temboni wameliomba Shirikisho la ‘Soka’ Tanzania (TFF) kumuachia huru aliyekuwa msemaji wa ‘Klabu’ ya Yanga Haji Manara...
Baada ya mwanamitindo #KimKardashian kuvunja ‘rekodi’ ya bidhaa zake za SKIMS FOR MEN kwa kuagizwa na zaidi ya watu Elfu 20 ndani ya dakika 5, hatimaye mfanyabiash...
Hatimaye ‘klabu’ ya Simba nayo imengia katika hatua ya makundi ya ‘Klabu’ Bingwa Afrika kwa sare ya mabao 3-3 nje ndani dhidi Pwer Daynamos.
Historia i...
Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa onyo watoto kutoruhusiwi kucheza ‘show’ kwenye masherehe hasa nyak...
Usiku wa kuamkia leo mchezaji wa Yanga, Skudu Makudubela amewasili Tanzania kwa ajili ya kuendelea na majukumu yake Aidha mchezaji huyo alikuwa amesema anashauku kubwa ya kuji...
Kongamao la Dunia la ‘Roboti’ mwaka 2023 (WRC 2023), limeanza siku ya jana na linatarajiwa kumalizika Agosti 22,mjini Beijing nchini China linaendelea kufany...
Winga wa ‘klabu’ ya #Yanga, #JesusMoloko atakosekana katika mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC kutokana na kutumikia ‘kadi’ nyekundu aliyoipata k...
Yale maokoto ambayo wengi walikuwa wakiyasubiri kwa muda mrefu ili kujua kiasi cha pesa ambacho wasanii watapata kutokana na kazi zao kupigwa kwenye vituo mbalimbali vya Redio...
Chama cha wanamuziki Misri siku ya jana kilipiga marufuku tamasha la mwanamuziki kutoka Marekani Travis Scott lililopangwa kufanyika Julai 28 kwenye piramidi za Giza.
Kwa muji...
Mwandishi maarufu wa Ukraine, Victoria Amelina amefariki dunia leo Jumatatu kutokana na majeraha aliyopata kufuatia shambulio la kombora lililotokea Jumanne alipokuwa akipata ...