07
Komasava ya Diamond yafika kwenye chati za Billboard
Wimbo wa Diamond Platnumz unaotamba hivi sasa uitwao Komasava, umeingia kwenye chati maarufu za muziki nchini Marekani ziitwazo USA Billboard na kuweka rekodi.Komasava umeingi...
04
Tyla aendelea kukimbiza Spotify
Mwanamuziki wa Africa Kusini, Tyla ambaye alijulikana zaidi kupitia wimbo wake wa ‘Water’ ameendelea kufanya vizuri kupitia ngoma zake, hii ni baada ya albumu yake...
24
Hit em up ya Tupac ndiyo wimbo bora wa hip-hop
Wimbo wa marehemu Tupac Shakur uitwao ‘Hit Em Up’ umetajwa na Billboard kuwa ndiyo wimbo bora wa muda wote huku ukishika nafasi ya kwanza katika tovuti hiyo.Kwa mu...
15
Kendrick Lamar amejipata kwenye chati za Billboard
Wakati bifu la wanamuziki kutoka Marekani Drake na Kendrick Lamar likiwa limepowa kwa muda, ‘rapa’ Lamar anaendelea kukimbiza na kuonesha ubabe katika chati za Bil...
30
Taylor Swift wa moto Billboard, Ajaza ngoma zake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift ameutawala mtandao wa Billboard Hot 100, baada ya nyimbo zake 10 kuingia katika chati ya Billboard Top 10, ngoma hizo pia zipo ...
02
Album ya Tyla yazidi kukimbiza Billboard
Album ya mwanamuziki kutoka Afrika Kusini Tyla iitwayo ‘TYLA’ kwa mara ya kwanza imeshika namba moja kwenye chart za ‘Billboard World Album Chart’, huk...
12
Kanye na mpango wa kufanya ziara ya dunia
Mwanamuziki na mwanamitindo kutoka nchini Marekani Kanye West anaripotiwa kuwa na mipango ya kufanya ziara ya dunia miezi michache ijayo.Kwa mujibu wa tovuti ya #Billboard, Ka...
29
Fireboy dml aukosoa muziki wa Afrobeat
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Fireboy DML, ameukosa muziki wa #Afrobeat kwa kudai kuwa muziki huo hauna mtiririko mzuri wa uandishi baada yake unabebwa na ‘vaibu&rsq...
27
Kwa mara ya kwanza Beyonce, namba moja Billboard hot 100
Wimbo unaoendelea kuupiga mwingi katika platiforms mbalimbali wa mwanamuziki Beyonce, ‘Texasholdem’ umeshika namba moja katika chati za Billboard 100 kwa mara ya k...
25
Tems aanza mwaka kwa ushindi
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Tems ameendelea kuonesha makali yake katika kusukuma muziki kwenye mataifa mbalimbali, sasa ametangazwa mshindi kwenye Tuzo za Billboard Woma...
22
Calm down ya Rema na Romez yaendelea kuupiga mwingi
'Kolabo' ya wimbo wa ‘Calm Down’ uliofanywa na mwanamuziki kutoka Nigeria #Rema na #SelenaGomez imeendelea kuupiga mwingi kupitia chats mbalimbali, kwa sasa unataj...
21
Drake & Taylor wachuana tuzo za Billboard
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Drake na mwanamuziki mwezie Taylor Swift wanashikiria rekodi ya ushindi wa muda wote katika Tuzo za muziki za Billboard (BBMAs) baada...
20
Burna Boy na Rema washikilia bango kuikimbiza Afrobeats
Msanii wa muziki kutoka nchini #Nigeria, #BurnaBoy ameshinda tuzo ya msanii bora wa Afrobeats kwenye Tuzo za muziki za Billboard mwaka 2023 zilizotolewa usiku wa Novemba 19. B...
11
Wimbo wa Tyla waiinua S.Africa Billboard Hot 100
Wimbo maarufu wa Water wa mwimbaji kutoka South Afrika, Tyla umeanza kuonekana kwenye Billboard Hot 100, baada ya ku-trend kwa wiki kadhaa kupitia mtandao wa TikTok. ‘Wa...

Latest Post