Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi.
Emil...
Aliyekuwa mwigizaji wa tamthilia ya Zahanati ya Kijiji, Bi Ubwa amefariki dunia leo Jumamosi Aprili 20, 2024, mtayarishaji wa tamthilia hiyo Abdully Usanga amethib...
Imeripotiwa kuwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #TreySongz amemalizana na kesi yake ya unyanyasaji wa kingono ambayo ilifunguliwa February mwaka 2016.
Kwa mujibu wa Daily...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jason Derulo amkingia kifua mkali wa Hip-hop Diddy kwa kudai kuwa mwanamuziki huyo hana hatia.
Derulo ameyasema hayo wakati alipokuwa akipig...
Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika wa jina la #JocelynWildenstein maarufu kama ‘Cat Woman’ amefanya upasuaji wa sura yake zaidi ya mara 24 ili awe...
Wakati akiwa katika muendelezo wa ziara yake ya kuzunguka mataifa mbalimbali mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny akiwa South Africa amekutana na shabiki wa marehemu mwigizaji...
Baada ya vyombo vya habari mbalimbali nchini Marekani kudai kuwa mwanamuziki Diddy amekimbilia katika visiwa vya Caribbean, baada ya kuonekana katika uwanja wa ndege wa Opa-Lo...
Anaandika sana. Sioni mwenye uwezo huo kwa kizazi hiki. Anaandika mpaka kuandika kunamshangaa. Msikilize kwenye “Bakhressa”, “Kama Unamjua” ama rudi kw...
Imezoeleka kuwa watu wengi wakipata pesa hubadili mienendo yao, na aina ya maisha waliyokuwa wakiishi mwanzo, lakini hii ni tofauti kwa Jeff Bezos, mwanzilishi wa kampuni ya A...
Mtengeneza maudhui kutoka nchini Marekani Mr Beast ambaye alijulikana zaidi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuzikwa akiwa hai kwa siku saba, hatimaye amelamba dili nono k...
Kama ulivyo msemo wa vijana wengi mtaani kuwa mwaka mpya na mambo mapya, kama mnavyojua wiki hii na wiki inayofuata ndizo wiki ambazo watu wanarejea makazini huku wengine waki...
Meneja wa ‘klabu’ ya #Liverpool, #JurgenKlopp amethibitisha kuwa beki wao #KostasTsimikas atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu baada ya kugongwa kwenye bega na win...