19
Rudeboy: Hakutakuwana kundi la Psquare tena
Mwanamuziki kutoka Nigeria Paul Okoye maarufu Rudeboy amethibitisha kuwa kundi la ‘Psquare’ alilolianzisha yeye na pacha wake Peter Okoye limevunjika milele.Rude a...
14
Jinsi ya kuficha baadhi ya SMS za Whatsapp
Je unatamani kuficha baadhi ya chats zako wengine wasizione? Kama ulikuwa unatumia njia ya kufungua WhatsApp yako na kuingia kwa Face ID au Passcode, sasa unaweza kuachana na ...
13
Bautista afunguka kilichofanya akonde
Baada ya kusambaa kwa picha za mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista zikimuonesha kapungua mwili tofauti na alivyokuwa awali, hatimaye mwigizaji huyo amefichua sababu za ku...
12
Jay Melody alivyopenya katika msitu mnene kimuziki!
Staa wa Bongo Fleva, Jay Melody ni miongoni mwa wasanii waliofanya vizuri zaidi katikati kipindi cha miaka miwili iliyopita, hiyo ni baada ya ujio wake mpya wa tangu Januari 2...
11
Marioo: Paula kakubali kubadili dini
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Marioo amefunguka ishu ya kufunga ndoa na mzazi mwenzie Paula Kajala, kwa kuweka wazi kuwafanya hivyo hivi karibuni kwani Paula amekubali kubadili d...
11
Mapenzi yalivyowaingiza mastaa wa kike kwenye kiwanda cha Video Queens
Unaweza kuutumia msemo wa "Kwenye mafanikio ya kila mwanaume nyuma yake yupo mwanamke", kutokana na baadhi ya video za nyimbo za w...
10
Kukonda kwa Bautista kwageuka gumzo
Mwonekano mpya wa mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista umewapa wasiwasi mashabiki, baada ya picha yake kusambaa mitandaoni ikumuonesha amepungua (amekuwa mwembamba) kuliko...
09
Selena Gomez ataja sababu kushindwa kubeba ujauzito
Mwanamuziki Selena Gomez amefunguka kuwa yupo kwenye mpango wa kuanzisha familia na mpenzi wake Benny Blanco miaka michache ijayo, lakini hatoweza kubeba ujauzito kama wanawak...
09
Mtengeneza maudhui aliyejikondesha ashangaza wengi
Mtengeneza maudhui wa Marekani Nicholas Perry, ‘Nikocado Avocado’, ambaye amejizolea umaarufu kutokana na maudhui yake yanayohusu chakula kwenye mtandao wa YouTube...
06
Selena Gomez sasa ni bilionea
Mwanamuziki na mfanyabiashara Selena Gomez ametajwa kuingia katika orodha ya mabilionea ambapo utajiri wao unatokana na juhudi za kibiashara.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ...
06
Gigy Money achoshwa na wanaodukua akaunti zake
Mwanamuziki wa Bongofleva, Gift Stanford ‘Gig Money’, ambaye hivi karibuni alikutana na majanga ya kudukulia akaunti yake ya YouTube akizungumza na Mwananchi Scoop...
31
OCS Mwakinyuke: Bila washauri wazuri kwenye sanaa unapotea
Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabata, OCS David Mwakinyuke amesema ni muhimu wasanii kupata mshauri mzuri na kutoingia katika vishawishi ili kulinda kipaji.Mwakinyuke amezungumza j...
31
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac anyimwa dhamana
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Clark, Carli Kierny amemnyima tena dhamana Duane “Keffe D” Davis, mshukiwa wa mauaji ya marehemu mwanamuziki Tupac Shakur, mauaji yal...
30
Samatta, Flaviana Matata, Ramadhan Brothers Kushikana Mashati Tuzo Za TMA
Ikiwa ni muendelezo wa kutaja majina na vipengele mbalimbali vinavyowania tuzo za Tanzania Music Awards (TMA), sasa vimetajwa vipe...

Latest Post