25
Diamond na Zuchu washinda tuzo za TDA
Usiku wa kuamkia leo msanii Zuchu na Bosi wake Diamond wameshinda tuzo za Tanzania Digital Awards(TDA) ambapo Diamond ameondoka na tuzo ya msani bora wa kiume wa mwaka anayetu...
23
Bess ashinda tuzo ya kocha bora 2024
‘Kocha’ mwenye umri mdogo zaidi wa mchezo wa kikapu aitwaye Christopher Bess (6) ameshida Tuzo ya ‘Kocha’ bora mwaka 2024, baada ya ‘timu’ ...
05
Ronaldo ashinda tuzo mfungaji bora 2023
Nyota wa ‘klabu’ ya Al Nassr FC kutoka Saudi Arabia, Cristiano Ronaldo ameibuka kidedea kwa kushinda Tuzo ya Maradona kutoka Globe Soccer kama mfungaji bora kwa mw...
31
Vinicius ashinda tuzo dhidi ya ubaguzi wa rangi
Mchezaji wa ‘klabu’ ya wa #RealMadrid, #ViniciusJunior ametwaa tuzo ya Socrates kwa mapambano yake dhidi ya ubaguzi wa rangi pamoja na mchango wake wa hisani kwa j...
26
Burna Boy aandika rekodi, ashinda tuzo ya BET
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Burna Boy usiku wa kuamkia leo Juni 26 ameshinda tuzo ya BET Best International Act 2023 ikiwa ni mara yake ya nne. Tuzo hiyo ambayo ni ya n...
08
Zuckerberg ashinda medali mchezo wa karate
Mwanzilishi wa Facebook na ofisa mtendaji mkuu wa Meta, Mark Zuckerberg amewashangaza mashabiki na wapenzi wa mchezo wa karate baada ya kushinda medali za dhahabu na fedha kat...
18
Karim Benzema ashinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Club ya Real Madrid ya Hispania Karim Benzema ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya Mchezaji Bora wa Dunia. Tuzo hizo ambazo zili...
10
Msanii chipukizi Tz ashinda tuzo Kenya
Msanii Chipukizi na mwanamitindo kutoka nchini Tanzania, Regina Kihwele maarufu kama Gynah ameibuka mshindi wa muigizaji bora kike kwenye tuzo za Lake International Pan Africa...
08
Gynah ashinda tuzo za LIPFF nchini Kenya
Mwanamuziki na mwanamitindo kutoka nchini Tanzania, Regina Kihwele maarufu kama Gynah ameibuka mshindi wa muigizaji bora kike kwenye tuzo za Lake International Pan African Fil...
02
Popo wa New Zealand ashinda tuzo
Popo mmoja ametajwa kuwa ndiye ndege wa mwaka wa New Zealand, katika hali ya kutatanisha ambayo imesababisha lalama kali mitandaoni nchini humo. Popo mwenye mkia mrefu alikuwa...
11
Diamond aashinda tuzo ya Msanii Bora Afrika
Msanii wa muziki wa bongofleva na bosi wa lebal ya WCB, Nassibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amefanikiwa kushinda tuzo ya msanii bora wa Afrika mwaka 2021 katika tuzo z...

Latest Post