Kwenye ulimwengu wa mapenzi, inaonekana nyota wengi wa mpira wa miguu wanavutiwa zaidi na wanamitindo. Na hii siyo tu kwa Aziz Ki ambaye Februari 16, 2025 alifunga ndoa na mwa...
Kama tunavyojua ujauzito unapo haribika tumboni basi litachukuliwa jukumu la kusafisha na kuacha tumbo likiwa salama, lakini hii imekuwa tofauti kwa mwanamama mmoja kutoka Chi...
Moja ya staili ya ushangiliaji ambayo inakubalika zaidi huku ikiwavutia mashabiki wengi ni ambayo amekuwa akiitumia mchezaji wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cr...
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump na mkali wa Pop Taylor Swift kutangazwa kuwepo katika fainali za ‘Super Bowl LIX’, sasa inaelezwa kuwa rapa Kanye West na mk...
Uchunguzi bado unaendelea Los Angeles katika kesi inayomkabili rapa ASAP Rocky, ambaye anakabiliwa na mashtaka mawili ya uhalifu, akidaiwa kumpiga risasi rafiki yake wa zamani...
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameachana na mke wake Cristina Serra ambaye wamekaa pamoja kwa miaka 30.Guardiola ambaye anapitia kipindi kigumu kwenye kikosi cha Manch...
Mbunifu wa mitindo kutoka Nigeria, Liz Sanya anatajwa kukamilisha kutengeneza kiatu (sendo) kikubwa zaidi dunaini kwa kutumia masaa 72.Kwa mujibu wa tovuti ya ‘News Cent...
Kama unajidanganya kuwa umeshawahi kuona kila kitu kwenye dunia hii basi nakujuza kuwa bado kunavitu haujawahi kuviona kabisa. Kibongo bongo baadhi ya vijana wanagoma kuoa huk...
Mwanamuziki wa Marekani Selena Gomez na Mpenzi wake Benny Blanco wametangaza kuchumbiana baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa zaidi ya mwaka mmoja.Selena Gomezi mwenye umri wa m...
Na Asma Hamis Wakati baadhi ya watu wakienda kwenye vituo vya huduma za afya kupatiwa matibabu ya macho pale yanapopata matatizo, hiyo ni tofauti katika kijiji cha Crnjev...
Mchezaji wa zamani wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Alan Shearer amesema kocha wa Manchester United, Erik ten Hag ana michezo miwili pekee ya kuokoa kibarua ch...
Mwanamke aitwaye Maria Branyas Morera kutoka Hispania ambaye alikua akishikiria rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Records’ kuwa binadamu mzee zaidi amefariki akiw...
Picha za mwanamuziki na mwigizaji wa Marekani Selena Gomez zimezua maswali kwa mashabiki wakiuliza kama msanii huyo amechumbiwa na mpenzi wake Benny Blanco.Maswali hayo yameku...