Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku nchi nyingi zikiendelea kutuma misaa...
Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa Njombe, Dkt. Isaya Mwasubila, amesema tafiti zimebaini maambukizi makubwa ya ugonjwa wa usubi katika maeneo 4 ambayo ni Itipula 30%, Igola...
Treni mbili zimegongana kaskazini mwa Ugiriki na kupoteza maisha ya takriban watu 26 na makumi ya watu kujeruhiwa, Treni hiyo inayosemekana kuwa na abiria 350 ambapo iligonga ...
Wanajeshi wasiopungua 51 wa Burkina Faso wameuwawa katika shambulizi la kustukiza lililotokea eneo la kaskazini mwa nchi hiyo linalofahamika kwa hujuma kubwa za makundi ya iti...
Januari 2023 Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) ilitangaza kuzima huduma za Mawasiliano ya Laini zote ambazo hazijahakikiwa ambapo tarehe ya mwisho ilikuwa ni Februari 13, 2...
Hellow its Friday mtu wangu karibu sana kwenye kipengele cha fashion kama kawaida yetu huu ndio ukurasa pekee unaoweza kukusaidia wewe mpenda mitindo kuhakikisha muonekano wak...
Watu 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni ya Frester lililokuwa likitoka Bukoba kwenda Dar...
Idadi ya watu waliofariki katika matetemeko Mawili yenye kipimo cha Richa 7.8 na 7.6 yanazidi kuongezeka kadri muda unavyosogea, ambapo hadi hivi sasa Turkey imerek...
Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ya Bunge imebaini kuwa vifo vingi hutokana na ajali nyingi ambazo zinasababishwa na uhaba wa vitendea kazi, taa za barabarani, kamera...
Ripoti za idadi ya waliofariki inaendelea kuongezeka kufuatia tetemeko la ardhi la ukubwa wa 7.8 kwa kipimo cha richa kuzipiga Uturuki na Syria, usiku wa kuamkia Februari 6, 2...
Idadi ya waliokufa katika tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Kusini Mashariki mwa Uturuki, karibu na mpaka wa Syria ni zaidi ya 100 huku wengine wakihofiwa kukwama katika vif...
Mbwa mwenye umri wa miaka 30 nchini Ureno ametajwa kuwa ndiye mwenye umri mkubwa zaidi kuwahi kutokea duniani, shirika la Guinness World Records limeeleza.
Bobi ambae ni...
Mambo vipi ni matumaini yangu mko good kabisa, sasa leo kwenye biashara tumekusogezea kitu konki kabisa. Weeeeh! Kuna baadhi ya watu wanalinifata niwaeleze kuhusiana na biasha...
Mkuu wa Benki Kuu nchini Ulaya, Christine Lagarde amesema, uchumi wa kanda ya Ulaya utakuwa bora zaidi mwaka huu kinyume na ilivyohofiwa awali.
Lagarde ameyasema haya huko Dav...