12
Komasava yaendelea kumng’arisha Diamond
Baada ya mwanamuziki Diamond kutamba zaidi na ‘Komasava Remix’ aliyomshirikisha msanii wa Marekani Jason Derulo, na sasa ametajwa kuwepo kwenye album ya ‘rap...
04
Acha aibu, hizi ndizo fursa za kujikwamua kimaisha
Kama inavyofahamika kuwa suala la ajira, limekuwa janga la Taifa, asilimia kubwa ya wahitimu wamekuwa wakilia nalo. Waswahili wanasema uoga wako ndiyo umasikini wako, na hili ...
19
Saa za Apple zinazopima Oxygen zazuiwa Marekani
Kampuni ya simu Apple ambayo pia inatengeneza saa imezuiliwa kuuza ‘Apple Watch’ ambazo zimetengenezwa kwa mfumo unaopima kiasi cha Oxygen kwenye damu nchini Marek...
22
Harmonize alitaka kuzichapa jana kwa Mkapa
Inadaiwa kuwa mwanamuziki wa bongo fleva Harmonize ataka kuzichapa na walinzi wa uwanja wa Taifa Benjamin Mkapa baada ya walinzi hao kukataa msanii huyo asiingie na walinzi (B...
28
Mlinzi wa msanii Trey jela mwaka mmoja
Bodyguard wa mwanamuziki wa R&B kutoka nchini Marekani Trey Songz, Cornell Whitfield amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga shabiki nchini Dubai.Inae...
11
Ex wa YG adaiwa kusababisha kifo cha bibi wa miaka 89
Mama watoto wa ‘rapa’ kutoka nchini Marekani YG, Catelyn Sparks, anadiwa kusababisha kifo cha bibi  wa miaka  89. Inadaiwa kuwa Sparks aliigonga gari ya ...
03
Blac Chyna na Tyga waburuzana mahakamani kisa mtoto
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani, Blac Chyna amfikisha mahakamani baba mtoto wake Tyga, ili apate haki ya malezi ya mwanaye. Inaelezwa kuwa tangu wawili hao watengana Blac ...
31
Shabiki arudisha Bracelet ya Tyga baada ya kuiokota
Wakiwa katika tamasha aliloandaa msanii wa Marekani 50 Cent lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye jukwaa la Surprise Artist nchini humo mwanamuziki #Tyga arudishiwa bracel...
11
Tyga na Avril waanza upya
Ebane! Huko majuu kumenoga hatari famasiala na mapenzi wewe, bwana baada ya kusitisha uhusiano wao wiki chache zilizopita, wasanii kutoka Marekani Avril Lavigne na Tyga waunga...
13
Rapper Tyga akalia kuti kavu
Rapper kutokea nchini Marekani Tyga, unaweza kusema amekalia kuti kavu baada ya kufunguliwa mashtaka kwa kumpiga mpenzi wake wa zamani Camaryn Swanson maarufu kama Killa Cam u...

Latest Post