25
Biden aweka saini sheria itakayoweza kuindoa tiktok Marekani
Rais wa Marekani Joe Biden ametia saini muswada wa sheria ambao endapo utakiukwa mtandao wa TikTok utapigwa marufuku kutumika nchini humo. Baraza la wawakilishi la Bunge la Ma...
25
Aliyehusishwa kubeba dawa za kulevya za Diddy akutwa na hatia
Kijana moja aliyedaiwa kuwa ndiyo mbebaji wa dawa za kulevya za #Diddy, #BrendanPaul ameshitakiwa jana Jumatano kwa kosa la kukutwa na dawa aina Cocaine baada ya kukamatwa mwe...
25
Huwenda Ne-Yo yakamkuta ya Diddy
Mama watoto wa mwanamuziki kutoka nchini Marekani, Ne-Yo anayefahamika kwa jina la Big Sade amemfananisha msanii huyo na Diddy kwa kumuita 'Diddy Junior'. Kwa mujibu wa Tmz Ne...
25
Familia ya Tupac kumburuza Drake mahakamani
Familia ya marehemu rapa Tupac ipo kwenye mpango wa kumfungulia mashitaka mwanamuziki Drake baada ya kutumia AI (akili bandia)kutengeneza sauti ya Tupac katika ngoma yake aliy...
25
Walimu waruhusiwa kuingia na bunduki shuleni
Wabunge wa jimbo la Tennessee nchini Marekani wamepitisha mswada wa kuwaruhusu walimu na wafanyikazi wengine wa shule kubeba bunduki shuleni siku ya Jumanne. Imeelezwa kuwa wa...
24
Ten Hag na wachezaji wake wapigwa rungu
Kocha wa klabu ya #ManchesterUnited, Erik ten Hag na wachezaji wake watalazimika kupunguzwa mishahara kama watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kwa mujibu wa The Sun...
24
Megan atuhumiwa kwa unyanyasaji wa kihisia
Mwanamuziki kutoka Marekani, #MeganTheeSTallion amefunguliwa mashitaka na aliyekuwa mpiga picha wake #EmilioGarcia kwa unyanyasaji wa kihisia na mazingira magumu ya kazi. Emil...
23
Bellingham apata tuzo ya mchezaji bora wa kiume
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
23
Yanga waweka bango la 7-2 fire
Baada ya ‘klabu’ ya Yanga kuweka bango la ushindi wa bao 5-1 dhidi ya watani wao Simba, na sasa wamerudia kile kile ambapo wametengeneza tena bango la ushindi wa 7...
23
Je wajua Wanaume wenye vipara walitumika katika majaribio ya lipstick
Katika miaka ya 1950 kazi ambayo ilikuwa ikitrend sana katika sehemu mbalimbali hasa Marekani ni kazi ya majaribio ya lipstick iit...
23
Moto umewaka Ex wa Quavo auvaa ugomvi
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Saweetie ameanika text zote za ‘rapa’ Quavo kupitia mitandao ya kijamii, hii ni baada ya Quavo kumtaja mwanadada huyo kwenye ngo...
23
Utafiti: Watu wapweke wanaongoza kuangalia Tv
Kwa mujibu wa utafiti mpya uliofanywa kutoka Chuo Kikuu cha Texas huko Austin unaeleza kuwa watu wapweke na wenye mfadhaiko (depression) wanaongoza kutazama televisheni kupita...
22
Biashara zinazoweza kukuingizia sh 1milioni kwa mwezi
Na Aisha Lungato Niaje niaje watu wangu wa nguvu, i hope mko pouwa kabisa, kama ilivyoada kila wiki tunawasogezea vitu adimu katika anga za biashara, mada ya leo kila mtu itam...
22
Jinsi ya kufanya tafiti ya kuvutia ukiwa chuoni
Na Michael Anderson Nikizungumza kuhusiana na kufanya tafiti ‘research’ kwa wanafunzi wa chuo si jambo geni kabisa, mara nyingi hupewa wanafunzi wanaokaribia kuhit...

Latest Post