04
Toxic afunguka kumzimia kimapenzi Abigail Chams
Msanii wa Hip-hop nchini Abdulrazak Selemani ‘Toxic’ wakati akifanya mahojianoa na Mwananchi Scoop, ameweka wazi hisia zake za kimapenzi kwa mwanamuziki Abigail Ch...
23
Filamu ya George Floyd kutayarisha na mtoto wake
Mke na mtoto wa marehemu George Floyd wameripotiwa kutayarisha filamu iitwayo ‘Daddy changed the World’ ya maisha ya mwanaume huyo ambaye aliuwawa na polisi nchini...
12
Burna Boy kwenye orodha ya wanaovutia zaidi
Kwa mujibu wa jarida la Essence kutoka nchini Marekani limetoa listi ya mastaa wa kiume wanaovutia zaidi huku mkali wa Afrobeat Burna Boy akitajwa kwenye orodha hiyo.Kwa mujib...
18
Sababu za kutokwa machozi wakati wa kukata kitunguu
Kuna kitendawili kisemacho nampiga mwanangu nalia mwenyewe, jibu lake kitungu, kitendawili hiki kimetokana na tabia ya tunda hilo ambalo wakati wa kulikata hupelekea mkataji k...
17
Dk. Death azindua mashine ya kutoa uhai kwa wanaotaka kujiua
Shirika la Exit International kutoka nchini Marekani ambalo lipo chini ya Dk. Philip Nitschke, maarufu kama ‘Dr. Death’ limevumbua sanduku maalumu la kujiua liitwa...
02
Afariki baada ya kula samaki mwenye sumu
Mwanamme mmoja kutoka nchini #Brazil, aliyefahamika kwa jina la Magno Sergio Gomes (46) ameripotiwa kufariki baada ya kula samaki mwenye sumu aina na ‘#pufferfish’...
01
Marekani kushuhudia kupatwa kwa jua
Kwa mujibu wa #NASA ambao wanahusika na masuala ya utafiti wa anga kutoka nchini Marekani kupitia tovuti yao wameeleza kuwa Aprili 8, 2024, Marekani itashuhudia kupatwa kwa ju...
28
Mmea unaofanana na midomo ya binadamu
Kama hujawahi kufikiria kuwa kuna mmea wenye muonekano wa midomo ya binadamu, fahamu kuwa mmea huo upo na unafahamika kwa jina la Hooker na kisayansi unaitwa Psychotria elata....
26
Hii hapa historia ya Boxing Day duniani
Kila ifikapo Disemba 26, dunia husherehekea sikukuu ya ‘boxing day’ ambayo mara nyingi huenda sambamba na kutoa na kupokea zawadi. Na huwa inafanyika siku ya pili ...
29
Noah awakalisha Burna Boy, Davido na Tiwa Savage kwenye o2 arena
Mchekeshaji na muandishi wa habari kutoka Afrika Kusini Trevor Noah ameendelea kuupiga mwingi baada ya kuwavutia wengi kupitia mitandao ya kijamii kwa kujaza mashabiki katika ...
23
Simba yafanya jaribio la kumng’oa Maxi Yanga
‘Klabu’ ya Simba wamefanya jaribio zito la kutaka kumng’oa juu kwa juu kiungo wa Yanga Mkongomani, Maxi Nzengeli ambaye alipiga mabao mawili dhidi ya Simba k...
11
Dereva taxi awanyoa abiria kwa kushindwa kulipa nauli
#Derevataxi mmoja kutoka nchini Afrika Kusini ambaye hajafahamika jina lake amewanyoa nywele wanawake wawili ambao ni abiria wake baada ya kushindwa kumlipa nauli.Tukio hilo a...
31
Maxi apewa gari
Ma-bosi wa ‘klabu’ ya #Yanga wamempa zawadi ya gari mchezaji #MaxiNzengeli mara baada ya ‘kiungo’ huyo kupiga mabao 2-0 dhidi ya Singida Big Stars kwa ...
29
Mbwa asimamisha mechi baada ya kukimbia na mpira
‘Mechi’ ya mpira wa miguu nchini Mexico ilisimama baada ya mbwa kuingia uwanjani na kukimbia na mpira katika mchezo wa Alebrijes Oaxaca dhidi ya Dorados.Mchezo huo...

Latest Post