10
Kukonda kwa Bautista kwageuka gumzo
Mwonekano mpya wa mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista umewapa wasiwasi mashabiki, baada ya picha yake kusambaa mitandaoni ikumuonesha amepungua (amekuwa mwembamba) kuliko...
07
John Cena atangaza kustaafu WWE
Mwanamieleka wa Marekani John Cena ametangaza kustaafu kushiriki mashindano ya World Wrestling Entertainment (WWE) usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa tovuti ya Forbes Cena am...
25
John Cena na mpango wa kustaafu mieleka
Mwanamieleka na muigizaji maarufu kutoka nchini Marekani, John Cena ameweka wazi kuwa ana mpango wa kustaafu kucheza mieleka kabla hajatimiza miaka 50.Cena ameyasema hayo waka...
21
Mashabiki wakosoa sanamu la The Rock
Ikiwa ni kawaida kutoka katika jumba la makumbusho la Grevin Paris nchini Ufaransa kuweka sanamu za watu maarufu mbali mbali, kwa mwaka huu imekua tofauti baada ya mashabiki k...
17
The Rock arejea WWE baada ya miaka minne
Star wa mchezo wa mieleka Dwayne Johnson ‘The Rock’ amethibitisha kurudi kwake WWE kwa kishindo huku mashabiki wakionekana kushangazwa na star huo ambaye alipumzik...
03
John Cena arudi ulingoni (WWE)
Baada ya ukimya wa muda mrefu mwanamieleka John Cena arudi ulingoni tena kwa kishindo.   Ikumbukwe kuwa mwanamieleka huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu akiendelea kufanya ...
25
Mcheza mieleka Bray Wyatt afariki dunia, WWE yathibitisha
Mcheza mieleka maarufu duniani, Bray Wyatt amefariki dunia jana Agosti 24, 2023 akiwa na umri wa miaka 36. Kifo chake kimethibitishwa na chama cha mieleka dunia (WWE) huku sab...
12
John Gotti afanya fujo ulingoni
Usiku wa kuamkia leo katika pambano dhidi ya Floyd Mayweather na John Gotti III lilofanyika Florida nchini Marekani lilisitishwa baada ya uamuzi tata kusababisha vurugu kubwa ...

Latest Post