17
Bieber abuni mbinu kupunguza uzito kwenye pochi za wanawake
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani Hailey Bieber yuko mbioni kuzindua kava za simu ambazo zitaweza kuwasaidia wanawake wanaopenda kupaka lipstick, kuhifadhi kipodozi hicho ny...
25
50 Cent awatolea povu wanaodai amekonda
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani 50 Cent amewatolea povu mashabiki ambapo wamekuwa wakimnanga kwenye baadhi ya picha anazo-post kufuatiwa na kupungua kwake uzito kwa ...
30
Mwanamke wa miaka 70 ajifungua mapacha
Mwanamke mmoja kutoka nchini #Uganda aitwaye, Safina Namukwaya mwenye umri wa miaka 70 amezua gumzo mitandaoni baada ya kujifungua watoto mapacha akiwa na umri huo. Kwa mujibu...
28
Teni aeleza sababu ya kupungua uzito
Baada ya kuzuka tetesi kuhusiana na mwanamuziki wa kike kutoka nchini Nigeria Teni, kuwa amefanya surgery ya kupunguza tumbo, mwanadada huyo amekanusha uvumi huo kwa kueleza k...
08
Afariki baada ya kutumia dawa za kupunguza uzito
Mwanamke mmoja kutoka nchini Austalia aliyejulikana kwa jina la Trish Webster, amefariki dunia baada ya kutumia dawa za kupunguza uzito ili aweze kuvaa gauni la ndoto yake kat...
08
Kevin Gates amtemea mate shabiki mwenye ujauzito
Mwanamuziki kutoka Marekani Kevin Gates ameshika vichwa vingi vya habari baada ya kamera kumnasa akimtemea mate shabiki mmoja mwenye ujauzito ambae alihudhuria kwenye show yak...
07
Ujauzito wa Maua Sama uliharibika
Mwanamuziki wa kizazi kipya #Mauasama katika ukurasa wake wa Instagram ame-share post ya #UltraSound ya ujauzito na kuweka kopa iliyopasuka katikati akiwa na maana ya huzuni a...
05
Mavazi na muonekano bora zaidi kwa mama mjamzito
Leo katika Fashion tutaelekeza jinsi gani mama mjamzito atakaweza kuwa na muonekano mzuri katika mavazi na aina ya mavazi anayotakiwa kuvaa katika kipindi hicho. Baadhi ya wan...
01
Abdulrazak: Nitatimiza ndoto ya mke wangu kupata mtoto
Baada ya siku za hivi karibuni mwanadada @divathebawse kusema anatamani ku-adapt mtoto kutokana na kutopata mtoto kwa muda mrefu, sasa mume wa mtangazaji huyo #Abdulrazk ameib...
29
Diva aeleza sababu ya kutopata mtoto
Mtangazaji #Divatheebawse afunguka sababu ya kutopata mtoto akiwa katika mahojiano na moja chombo cha habari ameeza kuwa aliwahi kupata matatizo yaliyosababisha akafanyiwa upa...
25
Mwanaume akimbia baada ya mpenzi wake kuwa na ujauzito wa watoto watatu
Mwanamke mmoja kutoka nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 27 anayetambulika kwa jina la Marry, adai kukimbiwa na mpenzi wake baada...
02
Eric ataka kulipwa zaidi ya 85 milioni ili aoneshe sura ya mtoto wake
Kama ilivyo kawaida kwa baadhi ya watu maarufu kuficha sura za watoto wao mara baada ya kuzaliwa, kama ilivyojitokeza kwa baadhi y...
28
Akaunti za aliyedai kuwa na ujauzito wa Davido zafungiwa
Ikiwa zimepita siku chache tangu mwanadada aliyedai kuwa na ujauzito wa nyota wa muziki Nigeria Davido, ku-share video kwenye ukurasa wake wa #Instagram na kudai ataenda kweny...
23
Uzito mkubwa kwa wanaume unapunguza nguvu za kiume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na U.S. National Institute of Environmental Health Sciences (NIEHS) unaeleza kuwa asilimia 10 ya wanaume wanasumbuliwa na changamoto ya uzito ...

Latest Post