22
Jinsi ya kufanya tafiti ya kuvutia ukiwa chuoni
Na Michael Anderson Nikizungumza kuhusiana na kufanya tafiti ‘research’ kwa wanafunzi wa chuo si jambo geni kabisa, mara nyingi hupewa wanafunzi wanaokaribia kuhit...
11
Sita wakamatwa mauji ya beki wa Kaizer Chiefs
Watu sita wanadaiwa kuhusika katika kifo cha aliyekuwa mchezaji wa ‘klabu’ ya #KaizerChiefs, #LukeFleurs wamekamatwa na Polisi nchini Afrika Kusini jana Jumatano A...
07
Simba na Yanga kukiwasha april 20
Bodi ya ligi kuu Tanzania bara (TPLB) imetoa tarehe ya mchezo kati ya ‘klabu’ ya #Yanga na #Simba ambapo ‘mechi’ itachezwa siku ya tarehe 20 mwezi Apri...
28
Waamuzi wa simba na Yanga wajulikana
Muamuzi #AbongileTom kutoka nchini Afrika Kusini ameteuliwa kusimamia mchezo wa robo fainali ya ‘ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC dhidi ya #AlAhly kutoka nchini ...
20
Dr Dre atunukiwa nyota ya heshima
Baada ya kutangazwa na watoaji wa nyota za heshima ya ‘Hollywood Walk of Fame’siku chache zilizopita, hatimaye ‘rapa’ na producer Dr Dre tayari ametunu...
14
Dr. Dre kutunukiwa nyota ya heshima, hollywood walk of fame
Producer na ‘rapa’ kutoka nchini Marekani Dr. Dre anatarajiwa kutunukiwa nyota ya heshima kwenye Hollywood Walk of Fame Machi 19, mwaka huu katika Jengo la Hollywo...
18
Davido mmliki mpya wa mtandao wa kijamii
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #Davido, ameingia katika teknolojia ya kutengeneza mtandao wa kijamii ‘Chatter’ambapo utajihusisha na mwaliko maalum kwa ubunif...
14
Super Eagles watunukiwa medali za heshima na Rais Tinubu
Baada ya ‘timu’ ya Taifa ya #Nigeria, maarufu kama #SuperEagles kuibuka mshindi wa pili katika michuano ya AFCON 2023, wametunukiwa medali za heshima na Rais wao B...
13
Baada ya Usher nani kukiwasha super bowl 2025
Baada ya mwanamuziki #Usher kukiwasha katika fainali za ‘Super Bowl’ zilizofanyika katika uwanja wa Allegiant, Nevada na sasa imeripotiwa kuwa mwaka 2025 fainali h...
24
Lil Wayne afunguka Drake kuchukiwa na watu weusi
‘Rapa’ #LilWayne kufuatiwa na mahojiano yake aliyoyafanya na Podcast ya The Richard Sherman, ameweka wazi sababu zinazomfanya msanii mwenzake Drake kuchukiwa na wa...
15
Mitandao ya kijamii ilivyogeuka mtaji kwa watu maarufu
Achana na wale ‘wanaofeki’ wenye kutumia pesa nyingi kwa ajili ya kununua ‘maroboti’ kwenye mitandao ya kuuzia muziki ili kazi zao zionekane zimepata w...
13
Davido kukiwasha Grammy
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria anatarajiwa kutumbuiza katika sherehe za kuelekea Tuzo za Grammy, inayotarajiwa kufanyika Februari 2, nchini #Marekani.Huku wasanii wengine ...
06
Ramadhan Brothers kukiwasha tena januari 8
Waruka sarakasi maarufu nchini Ramadhani Brothers ambao wanaipeperusha Bendera ya Tanzania, katika mashindano makubwa ya kusaka vipaji hatimaye wanaingia tena stejini Jumatatu...
03
Albumu ya Rema yafikia hadhi ya Gold
Albumu ya mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Rema ‘Rave & Roses (ULTRA)’ imefikia hadhi ya GOLD kwenye soko la mauzo ya albumu nchini Marekani, kwa kuuza zaidi...

Latest Post