22
Dani Alves atupwa jela miaka minne na nusu kwa ubakaji
Nyota wa zamani wa Brazil, Dani Alves amehukumiwa kwenda jela miaka minne na nusu kwa kosa la ubakaji, hukumu hiyo iliyosomwa Leo Februari 22 katika Mahakama iliyopo nchini Hi...
05
Kesi ya ubakaji ya mwanasoka kusikilizwa leo
Mchezaji wa zamani wa ‘klabu’ ya #Barcelona na #PSG, #DaniAlves anatarajia kufikishwa Mahakamani leo Jumatatu, Februari 5,2024  mjini  Barcelona kwa tuhu...
07
Diddy tena kwenye tuhuma za ubakaji
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani, #PDiddy na wenzake wawili wamefunguliwa mashitaka mapya jana siku ya Jumatano, kwa madai ya kumbaka binti wa miaka 17. Jarida la Rolling St...
24
Diddy afunguliwa tena mashitaka ya ubakaji
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #Diddy amefunguliwa mashitaka mengine ya ubakaji na mwanadada Joi Dickerson-Neal kwa tuhuma za kumpa dawa za kulevya na kumdhalilisha...
20
Baada ya Danny kufungwa miaka 30 kwa ubakaji, Ndoa yake na Bijou yavunjika
Wasanii kutokea nchini Marekani Bijou Phillips na Danny Masterson wapeana talaka baada ya ndoa yao kuingia doa. Inadaiwa Bijou ame...
16
Bondia ashutumiwa kwa kufanya ubakaji
Mwanamke mmoja nchini Marekani amfungulia kesi mpiganaji wa mashindano ya UFC Mc Gregor kwa kumfanyia vitengo vya ngono kwa nguvu wakati wa mchezo wa fainali za NBA mapema mwe...
06
Mwalimu akamatwa kwa kesi ya ubakaji wanafunzi
Mwalimu wa madrasa (chuo cha kislam) nchini Senegal anayeshukiwa kuwabaka wanafunzi wake 27 wa kike, amekamwatwa  siku ya jana Jumatatu baada ya kulikimbia jeshi la polis...
25
DC aonya wanawake kutembelea wanaume wasio wajua.
Mkuu wa wilaya ya Njombe, Kissa Kasongwa ametoa rai kwa wanawake kupunguza ujasiri wa kwenda kwa wanaume bila kujua vizuri ni mtu waina gani. Ni baada ya Juma Msemwa  mwe...
10
Ashikiliwa kwa tuhuma za kumbaka mwanaye
Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Mussa Pwele mkazi wa mkoa wa Mbeya mwenye umri wa miaka 47 anadaiwa kummbaka mtoto wake wa mzaa. Imeelezwa kuwa alifanya tukio hilo kwa kump...
23
Ubakaji utambulike kuwa kosa la jinai kwa wanandoa
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na Wanaharakati wa Masuala ya Kijinsia wamependekeza Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ili iweze ...
21
Mwanamuziki akabiliwa na kesi ya ubakaji
Mwanamuziki maarufu nchini Morocco Saad Lamjarred, anatuhumiwa na kesi ya ubakaji na unyanyasaji, ambayo imeanza kusikilizwa katika mji mkuu wa Ufaransa. Saad anayeimba muziki...
09
peng shuai na sakata la ubakaji
Nyota wa Tennis kutoka nchini China, Peng Shuai amezidi kusisitiza kuwa watu hawakumuelewa kwa kiasi kikubwa katika chapisho lake kwenye mtandao wa Weibo kuhusu tamko lake la ...
28
Chris Brown akabiliwa na tuhuma za ubakaji
Msanii Chriss Brown anadaiwa Kiasi cha Sh. Bilioni 46 na mwanadada Diddy aliyedai kuwa alibakwa na msanii huyo kwenye boti iliyokaribuni na nyumbani kwake huko Florida. Diddy ...

Latest Post