22
Tuzo za Grammy awamu ya 67 kutolewa Februari 2025
Waandaaji wa tuzo kubwa za muziki za Grammy wametangaza tarehe rasmi ya ugawaji wa tuzo hizo awamu ya 67 kwa mwaka 2025.Kupitia ukurasa wao wa Instagram wameorodhesha tarehe m...
03
Muonekano wa awali jukwaa la tuzo za Grammy
Tukiwa tunahesabu masaa kuelekea kushuhudia ugawaji wa Tuzo maarufu za Grammy 66, na huu ndio muonekano wa ukumbi itakapo fanyika shughuli hiyo.Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa...
22
Burna Boy kuandika historia tuzo za Grammy
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #BurnaBoy anatarajia kutumbuiza kwenye sherehe ya ugawaji Tuzo za #Grammy2024 zitakazofanyika Februari 4 katika ukumbi wa #Crypto nchini Ma...
14
Diddy kutoshiriki tuzo za Grammy 2024
Rapper kutoka nchini Marekani #PDiddy ameripotiwa kuwa hatoshiriki katika Tuzo za Grammy mwaka 2024 kufuatia na kesi nyingi zinazo mkabili licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo kati...
13
Davido kukiwasha Grammy
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria anatarajiwa kutumbuiza katika sherehe za kuelekea Tuzo za Grammy, inayotarajiwa kufanyika Februari 2, nchini #Marekani.Huku wasanii wengine ...
11
Rema, Wizkid na Diamond waambulia patupu Grammy
Baada ya kufanya vizuri kupitia ngoma zao mbalimbali lakini wakali hao kutoka #Afrika, ambao ni #Diamond, #Rema na #Wizkid wameambulia patupu katika kuwania Tuzo za #Grammy 20...
09
Tuzo za Grammy 2025 kufanyika Rwanda
Inadaiwa kuwa ifikapo mwaka 2025, Tuzo maarufu duniani za Grammy zanatarajiwa kufanyika nchini Rwanda. Inaelezwa kuwa CEO wa Grammy, Harvey Mason Jr mwaka 2022 alitembelea nch...
18
Wimbo wa Paund and Dollars waingia kwenye tuzo za Grammy
Ikiwa ni mwezi mmoja umepita tangu wimbo wa msanii Diamond, wa Pound & dollars kuachiwa kupitia YouTube channel yake hatimaye, wimbo huo aliomshirikisha mpiga zumari maaru...
12
Wimbo wa Drake na The Weeknd uliyotengenezwa kwa akili badia wang’ara Grammys
Hatimaye wimbo ‘Heart On My Sleeve’ uliyotengenezwa kwa akili bandia (AI) ukiwa umemshirikisha mwanamuziki Drake na Th...
06
Beyonce avunja rekodi tuzo za Grammy
Mwanamuziki nchini Marekani, Beyonce ameandika rekodi nyingine tena ya kushinda tuzo ya Grammy ambapo anakuwa msanii anayeshikilia rekodi hiyo duniani kwa muda mrefu baada ya ...
10
Diamond aweka rekodi tuzo za Grammy
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameweka rekodi nyingine baada ya kuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kutumbuiza katika ju...
07
Drake ajitoa tuzo za Grammy 2022
Unaambiwa moja ya story kubwa huko mitrandaoni ni hii ya msanioi wa muziki Drake kuliondoa jina lake katika tuzo za Grammy 2022. Msanii huyo alikuwa akiwania katika vipengelr ...
24
Wizkid atajwa tuzo za grammy
Moja kati ya story kubwa huko mitandaoni ni ya msanii wa muziki kutokea Nigeria, Wizkid kutajwa kwenye tuzo kubwa duniani katika vipendele viwili tofauti. Kipendele cha kwanza...

Latest Post