08
Aunty Ezekiel Aitwa Bodi Ya Filamu
Bodi ya Filamu Tanzania imemuita msanii wa maigizo Aunty Ezekiel kufika bila kukosa katika ofisi ya bodi hiyo zilizopo kivukoni, Dar Es Salaam siku ya Alhamisi, Julai, 10 2025...
08
Ben Pol: Nikiacha Muziki Sitotangaza
Msanii wa Bongo Fleva, Ben Pol kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa ikitokea kaamua kuacha muziki hakutakuwa na tangazo wala waraka.“Japo sijafikiria na sina...
08
Drake Aweka Rekodi Billboard
Msanii nguli wa Hip Hop kutoka Canada, Drake, ameweka historia mpya katika tasnia ya muziki duniani kwa kuwa msanii wa kwanza kuwahi kuingia kwenye orodha ya juu ya Billboard ...
08
Ifahamu Nchi Yenye Watu 30
Kama ulikuwa hujui basi leo nakujuza zaidi, kuna nchi ndogo zaidi duniani iitwayo Molossia, ambayo imekuwa ikiwavutia wengi kufuatia na utawala pamoja na maisha ya wananchi wa...
07
Chiku wa Kombolela apata funzo
Mwimbaji wa muziki wa taarabu, Hanifa Maulid ‘Jike la Chui’ anayetamba katika tamthilia ya Kombolela kwa jina la Chiku, amesema amejifunza mengi baada ya kupa...
07
Jux afunguka ishu ya kufilisika baada ya ndoa yake
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Jux amekanusha madai ya kufilisika hadi kufunga duka lake la African Boy baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya harusi yake mkewe Priscilla Ajok...
06
Wanasiasa acheni wasanii wachukue fomu
Mwanetu Gabo kachukua fomu. Dogo Stan Bakora kachukua fomu. Mshikaji wetu Mkojani kachukua fomu. Madevu wa Jua Kali kachukua fomu na shangazi yetu Aunt Zai wa Jua Kali na...
06
Usiyoyajua kuhusu Jose Mlavichwa
Ukitazama kwa umakini kwenye video ya wimbo wa Diamond ‘Nataka Kulewa’ utamwona Video King aliyepamba video hiyo lakini ukirudi kwenye ‘Marry Me’ wimbo...
06
Wananchi na Supu Dei
 Yanga wana utaratibu wa mara kwa mara. Kupika supu na kulisha bure mashabiki wao pale makao makuu ya klabu. Ni tukio kubwa lenye mvuto likikusanya maelfu ya mashabiki.Ub...
06
Sio Witness tu, hata Beyonce kapitia kwa Dolly Parton!
Peter AkaroRapa Witness a.k.a Kibonge Mwepesi ni miongoni mwa wanawake waliofanya vizuri sana katika muziki wa hip hop Bongo. Alikuwa mshindi wa Coca-Cola Popstar 2004 na alis...
05
Selengo Atamani Kuachana Na Sanaa
Msanii wa vichekesho na mtayarishaji, AbdulMohamed 'Selengo' licha ya kuwachekesha wengine ni mtu ambaye uso wake unatawaliwa na machozi pindi anapozungumzia kitu ki...
05
Zuchu Msanii Wa Kwanza Kufikisha Subscribers Milion 4
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Zuchu ameripotiwa kufikisha Subscriber milioni 4 katika mtandao wake wa Youtube.Hatua hiyo imepelekea kuwa msanii wa kwanza wa kike Afrika Ma...
05
Jumba la Jennifer Lopez na Ben Affleck ladoda sokoni
Hatimaye Jennifer Lopez, 55, na mtalaka wake, Ben Affleck, 52, wamefikia uamuzi wa pamoja wa kuliondoa sokoni jumba lao la kifahari lenye thamani ya Dola68 milioni lililopo Lo...
05
Bongo Fleva Ni Nyumbani Kwa P-Square Kwa Miaka 17 Sasa
Ndivyo tunavyoweza kusema kufuatia kundi la muziki kutokea Nigeria, P-Square pamoja na wasanii wake ambao ni pacha (Peter na Paul Okoye) kuendelea kufanya kazi na wenzao wa Bo...

Latest Post