14
Shilole mbioni kufunga ndoa ya nne
Msanii wa Bongofleva, Bongo Movies na mjasiriamali, Zuwema Mohammed 'Shilole', amesema atafunga ndoa na mpenzi wake wa sasa muda si mrefu ujao, ikiwa ni ndoa yake ya nne tangu...
01
Shilole: Ninafanya makusudi kuongea kingereza
Msanii wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Shilole amesema kukosea kwake kuzungumza Kiingereza huwa anafanya makusudi ili watu wacheke. Shilole anayejishughulisha pia na bias...
28
Majibu ya Shilole kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake
Vipi, wameachana au ni kiki? maswali ni mengi kwa ndoa ya msanii na mfanyabiashara Zuwena Mohamed 'Shilole' na mumewe Rajabu Issa 'Rommy' kutokana na yanayoendelea mitandaoni....
01
Mastaa wamlilia hayati Mzee Mwinyi
Kufuatiwa kutangazwa kwa kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, mastaa mbalimbali wameoneshwa kuguswa na msiba ...
04
Wema, Halima Kopwe, Shilole kwa Jokate
Baadhi ya ‘mastaa’ wa kike wajitokeza kumpongeza aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Korogwe Jokate Mwegelo baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT), am...
20
Uwezo wa Shilole kwenye muziki wa Hip-hop
Mwanamuziki wa #BongoFleva Shilole anadai kuwa anaweza kuchana huku akikumbushia wimbo wake ambao alimshirikisha msanii mkongwe Chidi Beenz uliyotoka miaka minne iliyopita &ls...
28
Mtoto wa Nandy mikononi mwa Zuchu, Ammwagia sifa, Adai atapata wakiume,
Tangu mtoto wa mwanamuziki Nandy na Billnass kuwekwa hadharani siku ya birthday yake ameonekana kupendwa na watu wengi kuanzia kwe...
02
SHILOLE: Wasanii acheni kudharau watu
Ebwana moja kati ya story kubwa huko mitandaoni ni hii hapa ambapo mwanadada Mjasiraimali na Msanii pia Shilole ameamua kuwakumbusha wasanii wenzie kuacha dharau kati yao kwa ...
30
Babalevo, Shilole hali si shwari
Huenda hali si shwari kwa urafiki wa wasanii wawili kati ya Babalevo na Shilole baada ya Babalevo kumuonya Shilole akae mbali na maisha yake asimfanye akaanza kuongea mambo ya...
08
Shilole wataka wanawake kuwaheshimu wanaume
Anaandika msanii Shilole kwenye page yake ya Instagram kuhusu harakati za wanawake katika maisha pia amewataka waendelee kuwaheshimu wanaume. "Sikia sauti ya Komando Shishi, a...
04
Shilole: umbali huleta amani na ukaribu huleta chuki
Ebwana eeh!! kutoka kwenye ukurasa wa Instagram msanii na mjasiriamali Zuwena Mohamed maarufu Shilole ameandika ujumbe huu hapa. ''Mara nyingine umbali huleta amani na uk...
01
Alikiba, Shilole wamaliza tofauti zao
Wanasema wagombanao ndio wapatanao, hilo limetokea kwa msanii Alikiba na Shilole kuwa na tofauti na kurushiana maneno kwenye interview na mitandaoni kuhusu mualiko kwenye uzin...
24
Shilole aweka wazi tetesi za kuwa mjamzito
Msanii wa muziki nchini Tanzania na mfanyabishara, Shilole maarufu kama Shishi amejibu tetesi zinazoendelea mitandaoni zimhusisha kuwa ni mjamzito. Shilole amethibitisha kuwa ...
08
Shilole kurudi gym
Aiseee kimeumana!! unaambiwa baada ya comments nyingi za mashabiki mitandaoni kumtaka  msanii wa muziki na Filamu Zuwena Mohamed maarufu kama  Shilole apunguze mwili...

Latest Post