22
Tyga Athibitisha Kufiwa Na Mama Yake
Rapa kutoka Marekani Tyga amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi aitwaye Pasionaye Nicole Nguyen, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53Tyga amethibitish...
21
Mashabiki Waitamani Ndoa Ya Paula Na Marioo
Baada ya kumalizika kwa sherehe ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki, sasa mashabiki wamehamia upande wa Paula Paul na Marioo wakiwataka wawili hao waoane.Kupitia mitandao ya kijamii,...
21
Ex Wa Elon Musk Alia Kutopata Huduma Za Watoto
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
21
T-Pain Aungana Na Wiz Khalifa Harbour View Equity
Mwanamuziki wa marekani T-pain anaripotiwa kuuza katalogi yake ya uchapishaji (mkusanyiko wa nyimbo) pamoja na baadhi ya masters zake za muziki kwenye kampuni ya HarbourView E...
20
The Godson Ya Marioo Imeshindikana
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
19
Usikurupuke Kuanzisha Biashara, Zingatia Haya
Kutokana na ugumu wa maisha, baadhi ya watu wameamua kujiajiri kwa kufungua biashara mbalimbali zinazoweza kuwaongezea kipato. Kwa kulitambua hilo Mwananchi Scoop tumekusogeze...
19
Jose Chameleone Kufanyiwa Upasuaji Leo
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
18
Show Ya Super Bowl Halftime Yazidi Kumpaisha Kendrick Lamar
Ikiwa zimepita siku chache tu tangu kuweka rekodi kupitia onyesho lake la ‘Super Bowl Halftime’, ambalo limekuwa tamasha lililotazamwa zaidi katika historia, na sa...
15
Obama Na Mkewe Hawana Mpango Wa Kuachana
Ujumbe ambao ameandika aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwenda kwa mke wake Michelle Obama siku ya jana ya Valentine umewakosha watu wengi katika mitandao ya kijamii.Ob...
15
Pazia Sauti za Busara 2025 lafunguliwa
Hatimaye pazia la tamasha la muziki Sauti za Busara 2025, limefunguliwa leo Februari 14,2025, Ngome Kongwe, Stone Town kisiwani Unguja na Journey Ramadhan ambaye ni Mtendaji M...
12
Utofauti Wa Wema Sepetu Na Nancy Sumari Upo Hapa
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
11
Kumbe Tupac hakuwa tajiri
Tupac Shakur ni moja ya watu maarufu katika historia ya muziki wa hip-hop duniani, hiyo ni kutokana na alama zisizofutia alizoziacha kwenye tasnia ya muziki. Lakini licha ya m...
09
ASake kuja na biashara ya mavazi
Msanii wa Afrobeat kutokea nchini Nigeria anaripotiwa kuja na biashara yake nyingine ya mavazi mwezi ujao.Kwa mujibu wa taarifa zinazo ripotiwa na vyombo vya habari nchini hum...
08
Myamba Awapinga Wanaodai Muziki, Kuigiza Ni Dhambi
Mwigizaji na mchungaji Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepinga mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kufanya sanaa ni dhambi.Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano m...

Latest Post