07
Hili hapa chimbuko la jina Chaz Baba
Mwanamuziki wa Dansi nchini Charles Gabriel Mbwana 'Chaz Baba' amefunguka kuwa jina analotumia sasa ambalo watu wanalitambua alipewa na aliyewahi kuwa mwanamuziki nyota wa dan...
07
Mama Kanumba ajitenga na filamu za mwanaye
Mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema tangu mwanaye afariki dunia hajawahi kuangalia filamu yake hata moja kwasababu zinamuumiza licha ya kuwa anazikubali kazi...
06
Rapa Rich Homie afariki dunia
Rapa Rich Homie Quan (34) amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 5, 2024 na taarifa za kifo cha msanii huyo zilianza kusambaa mtandaoni, huku wasanii wenzake kama Boosie Badazz...
05
Megan haoni sababu ya kupatana na Nicki Minaj
Rapa wa Marekani Megan Thee Stallion amefunguka kuwa hayupo tayari kupatanishwa na msanii mwenzake Nicki Minaj, kwani hajui chanzo cha ugomvi wao.“Mpaka leo sijui tatizo...
04
Hivi hapa vipengele vya wanaowania tuzo za TMA
Ikiwa jana Septemba 3, 2024 dirisha la kuwapigia kura wasanii watakaowania Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) lilifunguliwa, hivi ndivyo vipengele 17 vinavyoshindaniwa ambavyo vime...
03
Mahakama yampa siku 21 Mwijaku kuwasilisha utetezi dhidi ya Kipanya
Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imetoa siku 21 kwa mtangazaji wa Crown Media, Burton Mwemba Mwijaku kuwasilisha utete...
31
OCS Mwakinyuke: Bila washauri wazuri kwenye sanaa unapotea
Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabata, OCS David Mwakinyuke amesema ni muhimu wasanii kupata mshauri mzuri na kutoingia katika vishawishi ili kulinda kipaji.Mwakinyuke amezungumza j...
31
Mshukiwa wa mauaji ya Tupac anyimwa dhamana
Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Clark, Carli Kierny amemnyima tena dhamana Duane “Keffe D” Davis, mshukiwa wa mauaji ya marehemu mwanamuziki Tupac Shakur, mauaji yal...
31
Dora wa Jua Kali humwambii kitu kuhusu Pacome
Nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia 'Dora' humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha...
30
Rayvanny azikwepa Tuzo za TMA
Baada ya Kamati ya Uandaaji wa Tuzo za Muziki nchini (TMA) kutangaza baadhi ya vipengele na majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo, mwanamuziki Rayvanny ametaka kuondolewa kat...
30
Jay Melody ajipata Boom Play
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Jay Melody amefikisha zaidi ya streams milioni 300 kupitia mtandao wa kuuzia muziki Boom Play Music, akiwa na zaidi ya nyimbo 40 kwenye akaun...
30
Rapcha kutoka kutamani upadri hadi kuwa baba kijacho
Msemo wa hatupati tutakacho tunapata tujaliwacho ndiyo unaweza kuelezea ndoto ya mwanamuziki wa hip-hop nchini Cosmas Paul 'Rapcha' ya kutamani kuwa padri ilivyogeuka kuwa bab...
27
Illbliss: Burna Boy, Davido na Wizkid ni Ma-Rapa
‘Rapa’ na mwigizaji Tobechukwu Ejiofor, maarufu kama Illbliss, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya kudai kwamba Burna Boy, Davido, na Wizkid ni ma-r...
22
Ndugu asimulia Marco wa Zabron Singers alivyopambania uhai wake
Dar es salaam. Familia ya aliyekuwa mwimbaji wa kundi la Zabron Singers Marco Joseph imesema chanzo cha kifo cha ndugu yao ni tatizo la moyo lilitokea ghafla akiwa nchini Keny...

Latest Post