Mzalishaji muziki maarufu nchini S2kizzy ‘Zombie’ ameendelea kujimwagia maua yake huku akidai hakuna producer mwingine kutoka Bongo anayeweza kumfikia.Zombie ameya...
Mwigizaji Coletha Raymond amewajia juu wanaomkosoa kwa kwenda kanisani huku amevaa suruali.Mwigizaji huyo ambaye alichapisha video kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonesha...
Zikitajwa nyimbo kumi za Bongo zenye mafanikio makubwa, lazima jina la mzalishaji muziki S2kizzy litajwe. Hii ni kutokana na mkali huyo kuhusika kwenye kutengeneza nyimbo nyin...
Tunajua unajua lakini tunakujuza zaidi, wakati Bongo baadhi ya vijana wakijitahidi kuficha hatua za ukuaji (balehe), lakini kwa tamaduni za Kusini mwa Angola hakuna siri kweny...
Mwimbaji wa muziki nchini Marekani Maria Carey (59) amethibitisha kufiwa na mama yake Patricia pamoja na dada yake mwishoni mwa wiki iliyopita.Katika taarifa yake aliyoitoa si...
Staa wa timu ya taifa ya England na Manchester United Kobbie Mainoo ameweka rekodi bora zaidi katika michuano ya Euro 2024, akipiga pasi sahihi nyingi kuliko wachezaji wengine...
‘Rapa’ kutoka Marekani, #JaRule amewakosoa wanaume wanaopendelea kuvaa jeans zilizochanika huku akidai kuwa ni mtindo wa zamani.
Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Mail...
Mke wa mwanamuziki kutoka Marekani #KanyeWest #BiancaSensori amewashangaza wengi baada ya kuvaa vazi la heshima akiwa matembezi na mumewe nchini Japan.
Vazi alilovaa Bianca nd...
Na Glorian Sulle
Moja ya tatizo ambalo limekuwa likiwachanganya wengi haswa mabinti ni muonekano wa kichwani, yaani atatokelezea vipi akienda kazini wiki nzima.
Kutokana na hi...
Krystyna Pyszková(24) Miss Czech Republic 2022, ndiye mshindi wa taji la Miss World 2024 shindano ambalo lilifanyika Mumbai, India usiku wa kuamkia leo, huku nafasi ya ...
Mwanzilishi wa vyombo vya habari na tajiri maarufu kutoka nchini Marekani Rupert Murdoch (92) anatarajia kufunga ndoa yake ya tano na mpenzi wake Elena Zhukova (67).Kwa mujibu...
Mvulana mwenye umri wa miaka kumi aitwaye Teddy kutoka Peppard, Oxfordshire, ametuma ombi kwa kampuni ya Apple akiitaka kubadili emoji iliyovaa miwani inayofanana na yake aina...
Mwanamuziki Diamondplatnumz akimkabidhi msanii mpya wa WCB D Voice cheni mpya yenye mchanganyiko wa madini iliyotengenezwa kwa muundo wa nembo ya WCB huku akimtaka msanii kuto...