Marehemu muigizaji kutoka nchini Nigeria John Okafor (62) maarufu kama Mr Ibu anatarajiwa kuzikwa Juni 28, 2024.
Taarifa hiyo imetolewa na kaka mkubwa wa Mr Ibu, Sunday Okafor...
Nyota wa ‘timu’ ya Taifa ya #Senegal, na ‘klabu’ ya #AlNassr #SadioMane, amejenga uwanja wa mpira wa miguu katika kijiji alichozaliwa cha Casamance, Ku...
Abdel Aziz Mohamed Bouh kutoka Mauritania, ndiye refa aliyepangwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ...
#Weekend ndiyo hii wazee wa kujirusha siku yenu imefika, wengi wanatafuta pesa lakini kichwani wamejiwekea malengo ya kumwagilia moyo mwishoni mwa wiki, shida siyo kutumia pes...
Muigizaji kutoka nchini #Marekani, #JohnStamos anadai kuwa aliwahi kumfumania mpenzi wake Teri Copley na muigizaji mwenzie Tony Danza.
John anadai kuwa mwaka 1980 aliwakuta wa...
Muigizaji kutokea nchini Marekani, #ToriSpelling ameripotiwa kuhama nyumbani kwake Los Angeles baada ya kuvamiwa na jirani yake akiwa na bunduki aina ya AR-15.
Tori ambaye ali...
Star wa ‘klabu’ ya #InterMiami #LionelMessi amejikuta akirushiwa maneno na mashabiki mtandaoni baada ya ku-post picha ya Pizza aliyokuwa anataka kuila.
‘Staa...
‘Klabu’ ya Yanga yaibuka kidede baada ya kuichapa Al Merrikh ya Sudan mabao 2-0 katika Uwanja wa Pele katika mchezo wa makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Huku mabao ...
Mpishi kutoka nchini #Kenya, #MalihaMohammed amevunja ‘rekodi’ ya Dunia ya Guinness kwa kupikia nyumbani baada ya kutimiza saa 90 na dakika 15.
Mpishi huyo alianza...
Kiongozi wa upinzani nchini Senegal, Ousmane Sonko, hana mpango wa kutafuta maridhiano, na Rais Macky Sall, na ameashiria kuwa anaweza kujaribu kuvuruga uchaguzi wa mwaka ujao...