‘Rapa’ kutoka nchini Marekani #KanyeWest amefunguka kutamani kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mke wa aliyekuwa Raisi nchini humo Baraka Obama, Michelle Obama....
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
Mwanariadha kutoka nchini Kenya aitwaye Peres Jepchirchir amevunja rekodi ya dunia ya ‘Guinness World Record’ kwa upande wa wanawake kwa kukimbia mbio ndefu za Lon...
Mwigizaji Ben wakati akifanya mahojiano na @mwananchiscoop amesema kuwa kwa sasa kuna baadhi ya stori ambazo anafikiria kama angekuwepo Kanumba angezifanya vizuri zaidi kuliko...
Rapa kutoka nchini Marekani, Ludacris ametoa shukrani kwa #BustaRhymes kwani ndiyo mtu pekee aliyefanikisha atoke kimuziki.
Kwa mujibu wa Daily Post News Luda ameweka wazi kuw...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani #Beyonce amempongeza ‘kocha’ wa mpira wa kikapu #DawnStaley kwa kumpa maua baada ya ushindi wake mpya wa kuwa ‘kocha&rsquo...
Mwanamke mmoja kutoka nchini Brazil aitwaye, Érika de Souza Vieira ameshikiliwa na polisi baada ya kupeleka maiti ya mjomba wake Paulo Roberto Braga (68) benki ili kwen...
Mkali wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria Davido ameamua kufuata nyayo za ‘rapa’ Drake baada ya kumlipia mwanafunzi mkopo wa shule.
Mwanafunzi huyo alinyanyua bango ...
‘Rapa’ kutoka nchini Marekani Kanye West ameripotiwa kuchunguzwa na polisi wa LAPD kufuatia tukio lililotokea usiku wa Jumanne baada ya mwanaume mmoja kudaiwa kums...
Aliyekuwa mwanamitindo maarufu nchini Italia, #RobertoCavalli mwenye umri wa miaka 83 maarufu kama ‘King of leopard print’ amefariki dunia jana Jumamosi.
Cavalli a...
Imekuwa kawaida kwa watumiaji wa iPhone kuhitaji baadhi ya usaidizi kutoka kwa Siri, kama vile kumuuliza maswali. Hivyo basi kutana na Susan Bennett, ambaye ndiye mwenye sauti...
Waswahili wanasema ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni, kwa karne ya sasa ni ngumu, kukutana na binadamu ambaye hajawahi kuona mwanamke au mwanaume toka azaliwe kwani watu w...
Baada ya kutangaza kurudi tena Africa kwa ajili ya kusikiliza album yake iitwayo ‘Velturels’, uongozi wa mwanamuziki Kanye West umetoa taarifa nyingine ikieleza ku...
Mwanamitindo mwenye umri wa miaka 21 kutoka nchini Marekani #AokiLee amekuwa gumzo katika mtandao wa X siku ya Jana, baada ya picha zake kusambaa akiwa na mpenzi wake mwenye u...