12
Mwakinyo ajutia usingizi wake
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Hassan Mwakinyo ameeleza kuwa anajutia usingizi wake huku akidai hakuna ushindi wa namna ile, hii ni baada ya kushuhudia pambano la Twaha Kid...
28
Mwakinyo aondoka na mkanda wa WBO Zanzibar
Hatimaye bondia wa Tanzania, #HassanMwakinyo amefanikiwa kushinda mkanda wa ‘WBO’ Africa Middle Weight baada ya kumuangushia kipigo cha ‘KO’ ya raundi ...
07
Mwakinyo abadilishiwa mpinzani, Kuzichapa na Mcongo
Bondia Hassan Mwakinyo Januari 27 atapambana ulingoni kuwania ubingwa wa WBO Afrika ambapo atapambana na bondia tofauti na yule aliyetangazwa awali Erick Msambudzi kutoka Zimb...
15
Mwanasheria ataja kitakachomkuta mwakinyo, Ampa tahadhari
Wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikielekeza bondia Hassan Mwakinyo kupelekewa wito wa kufika mahakamani kupitia gazeti la Mwananchi kufuatia kesi ya madai inayomkabili, ...
08
Mwakinyo kuingia ulingoni Zanzibar
Licha ya kufungiwa mwaka mmoja na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania Bara (TPBRC), bondia Hassan Mwakinyo ameibukia visiwani Zanzibar na anatarajiwa kuingia ulingoni Novem...
10
Mwakinyo afungiwa kushiriki ngumi
Bondia maarufu nchini Hassani Mwakinyo amefungiwa kupanda ulingoni kwa muda wa mwaka mmoja na faini ya tsh 1 milioni kufuatia utovu wa nidhamu wa kugomea kupanda ulingoni. Mwa...
29
Mwakinyo: Nina asilimia 5 tu za kupanda ulingoni
Bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo ameendelea na msimamo wake wa kutopanda ulingoni kutokana na sakata lake la kutofautiana katika makubaliano na ma-promota.Kupitia ukurasa...
27
Mwakinyo hajaridhishwa kubadilishiwa mpinzani
Bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo ambaye anatarajia kuingia ulingoni September 29, katika pambano la kuwania mkanda wa IBA Intercontinental dhidi ya Rayton Okwiri sasa ame...
05
Mkaliwenu atangaza vita kwa Mwakinyo, Kiduku na Mbabe
Mchekeshaji maarufu nchini Mkaliwenu ambaye kwa sasa ameangukia katika Tasnia ya Ngumi, usiku wa kuamkia leo amemchapa bondia Jitu la Kale kwa TKO.Pambano hilo ambalo sio la u...
03
Mwakinyo: Tafuteni walimu wazuri wa ngumi achaneni na waganga
Bondia maarufu nchini Hassan Mwakinyo ametoa ushauri kwa mabondia wengine kwa kuwaambia watafute walimu wazuri wa ngumi. Mwakinyo amedai kuwa ngumi ni pesa na maisha na sio us...
31
Mwakinyo atupa jiwe gizani
Bondia Hassani Mwakinyo ametupa jiwe gizani kwa kusema kuwa kuna mambo madogo lakini yakitokea yanaweza kukupa furaha mwaka mzima huku akimalizia na  msemo usemao nyuki w...
20
Mandonga: Simfahamu Mwakinyo
Bondia kutoka nchini Tanzania Karim Mandonga, kupitia mahojiano yake na moja ya chombo cha habari amedai kuwa hamfahamu bondia Hassan Mwakinyo.Mandonga amesema hayo baada ya k...
19
Mwakinyo akana kufungiwa
Alooooh! Baada ya lile sakata la kusambaa kwa taarifa kuwa bondia maarufu nchini Tanzania Hassan Mwakinyo kufungiwa kupigana nje mwenyewe amefunguka na kusema kuwa hajafungiwa...
19
Mwakinyo kurudi ulingoni Septemba 3
Aloooooooh! Basi bwana baada ya  kimya cha muda mrefu kilichomfanya Bondia wa Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Hassan Mwakinyo kupoteza baadhi ya mikanda, bondi...

Latest Post