14
Mwanamitindo aliyewahi kumvalisha Jennifer Lopez afariki dunia
Aliyekuwa mwanamitindo maarufu nchini Italia, #RobertoCavalli mwenye umri wa miaka 83 maarufu kama ‘King of leopard print’ amefariki dunia jana Jumamosi. Cavalli a...
19
Ifahamu wine iliyotengenezwa kwa kutumia nyoka
Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni, wakati baadhi ya watu wakitumia mvinyo uliotengenezwa na zabibu kwa ajili ya kujiburudisha, fahamu kuwa wapo wanaotumi mvinyo uliote...
06
Chino Kidd amvaa tena Marioo, Amtaja Baba Levo
Kutokana na mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii yakimhusisha mwanamuziki na dansa Chino Kidd kuwa kwenye mgogoro na bosi wake wa zamani Marioo, mkali huyo amefunguk...
04
Mvulana aitaka Apple ibadili emoji iliyovaa miwani kama yake
Mvulana mwenye umri wa miaka kumi aitwaye Teddy kutoka Peppard, Oxfordshire, ametuma ombi kwa kampuni ya Apple akiitaka kubadili emoji iliyovaa miwani inayofanana na yake aina...
02
Ugomvi wa wanandoa wasababisha ndege kutua kwa dharura
Ndege ambayo ilikuwa njiani kutoka Munich, Ujerumani kuelekea Bangkok, ambao ni Mji Mkuu wa Thailand, imelazimika kutua kwa dharura katika Uwanja wa Ndege wa Indira Gandhi nch...
13
Uvaaji wa bangili za culture unavyoongeza mvuto zaidi
Naam!! nikukaribishe tena kwenye magazine yetu ya Mwananchi Scoop katika segment yetu pendwa ya Fashion kama kawaida yetu hapa lazima tuangazie urembo na mitindo mbalimbali. L...
31
Channing amvisha pete Zoe
Waigizaji kutoka nchini Marekani #ZoëKravitz na #ChanningTatum wameripotiwa kuchumbiana weekend iliopita baada ya kukaa miaka miaka miwili kwenye mahusiano. Kwa mujibu wa...
11
Mlinzi wa shule apigwa risasi ya kichogo akiamulia ugomvi
Mlinzi wa shule ya Thomas R. Proctor, iliyopo New York apigwa risasi kichogoni wakati akizuia ugomvi, katika eneo la kuegesha magari lililopo karibu na uwanja wa mpira wa shul...
08
Watu zaidi ya watano katika shindano la raia mvivu zaidi
Tumezoea kuona mashindano mengi yakufurahisha na kuburudisha lakini kwa hili linaweza kuwa ndiyo shindano la kushangaza zaidi la watu wanaowania taji la raia mvivu zaidi linal...
26
Gigy: Masha Love ni chawa, niliwahi kuwa mpenzi wa Alikiba
Mwanamuziki wa kizazi kipya #GigyMoney akiwa katika interview na waandishi wa habari amedai kuwa #MashaLove sio rafiki yake yeye anachofahamu Masha ni chawa tu, Gigy amedai ha...
08
50 Cent alinunua viti 200 kwenye show ya Ja rule na kuviacha wazi
Upinzani umekuwa kitu cha kawaida kwa watu wanaofanya jambo la kufanana, kama ilivyo kwa wafanyabiashara katika kuvuta wateja, kwenye michezo kama ilivyo simba na Yanga, lakin...
15
Nicklass: Kuwa director mzuri kunahitaji push ya wasanii
Guys!! This is onather weekend mtu wangu wanguvu I hope uko poa na ulikuwa una subiria segement yetu ya burudani na michezo, sisi hatuna baya lazima tukuelekeze nini kimehappe...
23
Waliofariki katika Titan
Waokoaji wamekuwa wakikimbizana na muda kuitafuta manowari ya kitalii iliyopotea siku ya Jumapili karibu na kisiwa cha Newfoundland, Canada katika bahari ya Atlantiki. Chombo...
14
Watu 150 wafa maji wakitoka kwenye harusi
Watu Zaidi ya 150 wamefariki baharini baada ya boti waliopanda kupinduka njiani, ambapo walikuwa wanatoka kwenye sherehe ya harusi. Hadi sasa kuna Watu 150 waliofariki na za...

Latest Post