S.Mwanamuziki wa Kenya Blinky Bill amesema ladha ya muziki wa Tanzania imepotea. Amegusia 'Nikusaidiaje' ya Professor Jay ft Ferooz na 'Inaniuma sana' (Juma nature) Msanii wa ...
Mwanamuziki Frida Amani 'Madam President' wakati akifanya mahojiano na Mwananchi, leo Februari 15, 2025 amesema kinachofanya aandike historia kila mara kwenye muziki ni tabia ...
Mwigizaji na mchungaji Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepinga mitazamo ya baadhi ya watu kuwa kufanya sanaa ni dhambi.Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano m...
Ni wazi kuwa Barakah The Prince ni miongoni mwa wanamuziki waliojaliwa vipaji vikubwa hasa upande wa uandishi, sauti na melodi za kuvuti zilizofanya jina lake kuwa kubwa katik...
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya ambaye alijulikana zaidi kupitia kundi lililovunjika la ‘Sauti Soul’ amefunguka jinsi msanii wa Bongo, Marioo alivyomfundisha mbinu...
Msanii kutokea nchini Marekani Rihanna, ambaye hajatoa albamu mpya tangu alipoachia album yake ya 'Anti' 2016, alionekana katika studio ya kurekodia huko Jijini New York Jumam...
Nyota wa muziki wa RnB nchini, Ben Pol amesema bado yupo sana katika fani hiyo licha ya ukimya wa muda mrefu uliotokana na kuamua kujipa likizo ya kutoachia kazi mpya yoyote.M...
Gemu ya Hip-hop Tanzania kwa sasa ina majina mengi ya wasanii wanaofanya vizuri hususani wa kizazi kipya ambao kwa pamoja wanaitwa 'New Generation Ya Rap' hapo utakutana na ki...
Msanii The Weeknd ameweka wazi huenda albamu yake aliyopanga kuitoa januari 31, 2025 'Hurry Up Tomorrow' ikawa kazi yake ya mwisho kwenye muziki chini ya jina lake maarufu amb...
Msanii wa Hiphop nchini Tanzania, Rapcha ametangaza kwa mara ya kwanza kuachana na lebo ya muziki ya Bongo Record ambayo imekuwa ikimsimamia kwa muda mrefu.Rapcha ameweka wazi...
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...
Alikiba ameweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza ambae sio Mnigeria kushinda Tuzo ya NXT Honours Life Time Archievement Award (Tuzo ya mafanikio ya maisha Afrika) ambapo kwa mi...
Muziki wa miondoko ya taratibu Kompa Flava umeripotiwa kuwa na ushawishi mkubwa katika muziki wa Bongo Fleva huku ukiiteka jamii kutokana na muundo wake wa kipekee.Kwa mujibu ...
Awali lilipotajwa jina G Nako, wengi kwenye vichwa vyao zilisikika ngoza za hip-hop, lakini kwa sasa imekuwa tofauti kwani msanii huyu ameendelea kuonesha uwezo wake wa kutamb...