22
Mashabiki washangazwa na Cr7 kupaka rangi kucha za miguu
Mchezaji wa ‘klabu’ ya #AlNassr, # Cristiano Ronald amezua mijadara kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuonekana amepaka rangi kucha za miguu, hali iliyopelekea ...
07
Msichana anayechora kwa kutumia miguu na mikono
Tumezoea kuona wachoraji wakitumia mkono wa kulia ama kushoto kuchora picha lakini kwa mrembo #Rajacenna van Dam, maarufu kama Rajacenna ameendelea kuwavutia wengi kupitia mit...
15
Atembea kilomita 450 kwa miguu baada ya kugombana na mkewe
Mwanaume mmoja kutoka nchini Italy amewashangaza wengi baada ya kutembea kwa miguu maili 280 (450km) kutoka mji wa Como hadi mji wa Fano, ambao ni sawa na umbali wa Dar es Sal...
12
Ligi yasimamishwa baada ya muamuzi kushambuliwa
‘Ligi’ ya nchini Uturuki yasimamishwa baada ya muamuzi, Halil Umut kushambuliwa ndani ya uwanja katika ‘mechi’ iliyochezwa usiku wa Jumatatu dhidi ya #...
16
Yanga yapanda viwango, Yashika nafasi ya nne
Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limetoa takwimu ya viwango vya ‘Klabu’ kwa kipindi cha Novemba Mosi, 2022 hadi Oktoba 31, ...
30
Ahmed Ally amuita Gamondi mazoezini
Msemaji wa ‘klabu’ ya #Simba, #AhmedAlly ametupa jiwe gizani baada ya kushusha ujumbe ambao baadhi ya mashabiki wametafsiri kuwa huwenda dongo hilo likawa linamlen...
19
Muigizaji mr Ibu aeleza kukatwa miguu, Aomba msaada
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Nigeria, John Ikechukwu, maarufu kama Mr Ibu ameweka wazi kuwa anapambana na ugonjwa unaotishia maisha yake huku akiwaomba watu kumsaidia pesa ...
15
Jinsi ya kuzuia unukaji wa miguu, Viatu
Hali ya viatu kutoa harufu mbaya inawezekana iliwahi kukukumba ama bado inakukumba au umewahi kukarahishwa na mtu mwenye tatizo hilo, na kawaida tatizo hilo hufanya mtu kutoji...
12
Alisha adai kutaka kununuliwa kimapenzi na mchezaji mkubwa wa ‘soka’
Mchezaji wa mpira wa miguu wa wanawake Alisha Lehmann ambaye anakipiga kupitia ‘klabu’ ya Aston Villa, kupitia mahojia...
03
FIFA yaipiga kufuri Tabora United
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) waifungia kusajili wachezaji ‘klabu’ ambayo ipo katika ‘Ligi’ kuu ya NBC Tabora United, ambayo zamani ...
05
Fahamu jamii ya watu wenye vidole viwili vya miguu
Wahenga mwalisema kabla hujafa hujaumbika, na inafahamika kuwa si vyema kuwatenga watu kutokana na tofauti zao za kimaumbile. Imezoeleka kwenye jamii kumekuwa na watu wenye ma...
14
French Montana aingia Super Market na Farasi
Ni kawaida wa watu maarufu kutumia magari yaliyofungwa vioo kwa ajili ya kujificha wasionekane na watu, lakini kwa mwanamuziki wa Hip-hop kutoka New York French Montana imekuw...
11
UN yaitaka FIFA kutoa malipo sawa, wachezaji wa kike na wakiume
Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) limeshauri Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kuhakikisha linatoa malipo sawa ya fedha na tuzo kwa wanawake , kama ilivyo kwa wanaume...
10
Mo Dewji: Tuepuke wapotoshaji
Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoa taarifa kuhusiana na baadhi ya ‘timu’ kutowasilisha vibali vya wachezaji wa kigeni kutocheza mchezo wa N...

Latest Post