12
Ahmedy: Mlitaka Mayele abaki kwenye timu yenu ili afe masikini
Msemaji wa Klabu ya Simba Ahmed Ally ameingilia kati tabia ya baadhi ya mashabiki kumshambulia kwa maneno aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo Fiston Mayele. Hayo yote ni baada ya ...
07
Mayele aingia tatu bora ya mchezaji wa mwaka
Mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, #FistonMayele anayeichezea Pyramids FC ya Misri kwa sasa, ameingia kwenye tatu bora ya mchezaji wa mwaka Afrika. Mayele ameingia katika kip...
09
Mayele: Dunia ya Mungu siyo ya mtu
Mchezaji wa ‘Klabu’ ya Pyramid FC Fiston Mayele anadai kuna watu wanataka afeli. Kuhusiana na hilo Mayele amedai kuwa dunia ni ya Mungu siyo ya mtu hiyo watu waend...
25
Fahamu siri ushangiliaji wa Messi kunyoosha vidole angani
Imekuwa kawaida kwa mashabiki wa mpira wa miguu kuvutiwa na ushangiliaji wa baadhi ya wachezaji, kuna wakati mchezaji hupendwa na mashabiki wengi wa kila rika kutokana na aina...
10
Mzize kama Mayele
‘Streika’ wa #Yanga Clement Mzize taratibu ameanza kufuata nyayo za mshambuliaji wa zamani wa ‘klabu’ hiyo Fiston Mayele ambaye ameondoka kwenye timu h...
01
Manara: kwaheri Fiston Bugati Mayele
Baada ya wachezaji na baadhi ya viongozi kumtakia kheri mchezaji Fiston Mayele, hatimaye aliyekuwa msemaji wa ‘klabu’ ya #Yanga Haji Manara naye ametoa baraka zake...
31
Mayele: Nitarudi tena yanga, ni familia yangu
Baada ya zile sintofahamu za mashabiki dhidi ya hatima ya Ferston Mayele kuwepo katika ‘klabu’ ya #Yanga hatimae zimefikia kikomo baada ya ‘klabu’ hiyo...
21
Mayele kuishuhudia siku ya wananchi
Mfungaji bora msimu uliopita katika ligi kuu Tanzania Fiston Mayele, ambae tetesi zinaeleza kuwa mchezaji huyo anasubiria tu ‘Thank you’ kutoka katika ‘klabu...
14
Yanga day kinawaka kwa Mkapa
Kumekuwa na minon’gono ya hapa na pale kwa mashabiki wa ‘klabu’ ya #Yanga kuhusiana umarufu walioutengeneza misimu miwili iliopita na kuwa imara kwenye timu ...
19
Inonga azua gumzo baada ya kutetema kama Mayele
Hahahahaha! Make hapa kwanza ncheke, kama inavyo julikana wawili hawa Mayele na Inonga wakiwa katika ardhi ya Tanzania wanakuwa mahasimu, kufuatiwa na klabu zao wanazo zicheze...
13
Mayele na Ntibazonkiza wote waondoka na kiatu
Wachezaji Saido Ntibazonkiza wa Klabu ya Simba na Fiston Mayele wa Klabu ya Yanga wametwaa Tuzo ya mfungaji bora msimu huu wa 2022/23 katika Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Mig...
10
Mayele: Mimi ndio nastahili kuwa mfungaji bora
Baada ya msimu wa Ligi kuu soka Tanzania bara 2022/2023 kumalizika huku Wachezaji Fiston Mayele wa Yanga na Saido Ntibazonkiza wa Simba SC wakilingana magoli 17 katika mbio za...
07
Ahmed Ally: Tunahitaji mfungaji bora
Baada ya kiungo wa Simba, Saido Ntibazonkiza kumsogelea kwa ufungaji mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga mwenye mabao 16 na yeye 15, uongozi wa Simba umetoa neno. Meneja Haba...
02
Mayele yupo yanga mpaka 2024
Wananchiiiiiii! Wenye wanakamsemo kao wanakwambia tabu ipo pale pale, Mshambuliaji wa Yanga SC Raia wa Congo DR Fiston Mayele au mzee wa kutetema ameongeza mkataba wa kusalia ...

Latest Post