27
Grealish anusurika kuanguka paredi ya Man City
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Manchester City, Jack Grealish anusurika kuanguka kwenye basi la wazi la Manchester City walilokuwa wakilitumia katika paredi ya kushehereke...
22
Guardiola kocha bora wa mwaka 2023/24
Kocha wa ‘Klabu’ ya Manchester City, Pep Guardiola ametangazwa kuwa ‘kocha’ bora wa mwaka katika Ligi kuu ya Uingereza kwa mwaka 2023/2024.Guardiola am...
20
Kisa Klopp, Guardiola atoa machozi
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola jana alimwaga machozi baada ya kuulizwa swali kuhusu kuondoka kwa meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp.Klopp jana aliiongoza Liverpool kwe...
23
Lucas ataisikia Man City kwenye bomba
Inadaiwa kuwa ‘klabu’ Manchester City walifanya makubaliano na ‘klabu’ ya #WestHam kumchukua #LucasPaqueta kwa ada ya Pauni 85 milioni kabla ya dili hi...
17
Manchester City wapigwa marufuku kusheherekea ushindi
‘Winga’ wa #ManchesterCity Jack Grealish ameeleza kuwa ‘kocha’ wao Pep Guardiola amewapiga marufuku wachezaji wake kusheherekea ushindi wao kupita kias...
02
P Cancelo akubali wimbo wa Marioo
Mchezaji kutoa ‘klabu’ ya Manchester City, #João Cancelo kupita #InstaStory yake ame-share wimbo wa msanii #Marioo_tz  #MiAmor. Hii inadhihilisha kuwa ...
30
Mendy: Nishafanya ngono na wanawake 10,000
Mwanasoka kutoka klabu ya Manchester City, Benjamin Mendy mwenye umri wa miaka 28 anatuhumiwa kwa kosa la kumbaka msichana mmoja mwenye umri wa miaka 28 na kumwambia msichana ...
11
Burna Boy aweka record nyingine UEFA
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria Burna Boy ameweka record ya msanii wa kwanza Afrika kwenye fainal ya ligi ya mabingwa UEFA. Nyota huyo amewaburudisha ...
08
Man. City hatarini kuondolewa katika ligi ikibainika wanahatia
Timu ya mpira wa miguu ya Manchester City ipo hatarini kukatwa pointi au kuondolewa katika ligi ikiwa itakutwa na hatia kwenye tuhuma za kuvunja sheria wanazodaiwa kuzifanya m...
02
Manchester City yafuzu michuano ya FA CUP
Mambo ni moto mambo ni fire!! Watoto wa mjini wanasema hivyo bwana sasa basi iko hivi Timu za Manchester City, Middlesbrough na Crystal Palace zimefuzu hatua ya robo fainali y...

Latest Post