Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Yemi Alade amefichua wimbo wake uitwao ‘Johnny’, ulitoka kimakosa, kwani haukupangwa kutoka kwa wakati huo.
Yemi wakati akifanya ...
Rapper kutoka nchini Marekani #PDiddy ameripotiwa kuwa hatoshiriki katika Tuzo za Grammy mwaka 2024 kufuatia na kesi nyingi zinazo mkabili licha ya kuteuliwa kuwania Tuzo kati...
Ooooh!!! yes, ni week nyingine tena ambapo tunakutana kupitia kipingele cha makala za kazi, ajira, ujuzi na maarifa kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu sector h...
Nyota wa zamani wa 'Hannah Montana', Mitchel Musso ambaye alicheza "Oliver Oken" akamatwa Texas kwa tuhuma zinazohusiana na wizi wa mfuko wa chipsi akiwa amelewa. ...
Aliye kuwa Rais nchini Marekani, Donald Trump anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini Miami akikabiliwa na makosa saba yakiwemo ya kumiliki nyaraka za siri za serikali.
Aidha ...
Mambo vipi watu wangu wa fashion? Halooo ni wiki nyingine tena tunakutana bwana kama ilivyo kawaida yetu hii ndiyo sehemu pekee ya kufundishana mambo mbalimbali yanayohusu mas...
Niaje niaje wanangu wa vyuoni najua sijachelewa sana kuwaeleza kuhusiana na majambo haya, na hata kama umechelewa unaweza kuyarekebisha coz I hope muda utakuwa nao wa kuyareke...
Mambo niaje mtu wangu wa nguvu ikiwa zimesalia siku kadhaa kuukamilisha mwaka 2022 tukijiandaa kuupokea 2023 panapo majaaliwa yake Mola
Ebwana kama kawaida yetu kupitia makala...
Yes, ni wiki nyingine tena ambapo tunakutana kupitia kipingele cha makala za kazi, ajira, ujuzi na maarifa kwa ajili ya kujifunza mambo mengi zaidi yanayohusu sector hii ya aj...
Ngoja leo niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa kuoana naye:1. Kosa la kwanza, unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu na mkorofi...
Linapokuja swala la kujamiiana kwa wapenzi wapya ambao hawajawahi kukutana kimwili tangu kujuana kwao ni mtihani mkubwa. Kwani kila mmoja anakuwa na matarajio tofauti na mwenz...
Makosa wayafanyayo wanaume wawapo kitandani na mpenzi mpya...!
Linapokuja swala la kujamiiana kwa wapenzi wapya ambao hawajawahi kukutana kimwili tangu kujuana kwao ni ...
Je wewe ni mtu wa kupenda ghafla, yaani mwanaume anapokutamkia kwamba anakupenda huwa unamuamini kwa kiasi gani, unakuwa ni mwepesi wa kumuamini na kujitoa kwa ajili yake au u...