Baada ya kukabiliwa na mashtaka mawili moja likiwa kumshambulia mmoja wa wafanyakazi katika kundi lake la ‘ASAP Relli’ kwa bunduki, ‘rapa’ Asap Rocky a...
'Rapa’ kutoka nchini Marekani Offset na mkewe Cardi B wafikishwa mahakamani baada ya kushindwa kulipa kodi katika nyumba waliyokuwa wakiishi mwaka 2022.Kwa mujibu wa Tmz...
Baada ya mwanamuziki na muigizaji kutoka nchini Marekani Cassie kufungua kesi mahakamani kwa madai ya kunyanyaswa kingono na mkali wa ‘rapa’ Diddy hatimaye kesi hi...
Muigizaji mkongwe kutoka nchini #Marekani Arnold Schwarzenegger anatarajia kufikishwa mahakamani baada ya kusababisha ajali ya gari iliyotokea #LosAngeles Januari mwaka jana.
...
Muigizaji mkongwe kutoka nchini Marekani Arnold Schwarzenegger anatarajia kufikishwa mahakamani baada ya kumgonga na gari Mwanamama Joanne Flickinger.Kwa mujibu wa #TMZ inaele...
Mwanamitindo kutoka nchini Marekani, Blac Chyna amfikisha mahakamani baba mtoto wake Tyga, ili apate haki ya malezi ya mwanaye.
Inaelezwa kuwa tangu wawili hao watengana Blac ...
Aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump anadaiwa kuagiza chakula cha haraka maarufu kama MCDonald’s wakati wa kesi yake ya ulaghai wa dola 250 milioni, ikisikilizwa, ka...
Mwanamuziki Chris Brown anakabiliwa na mashitaka ya kushindwa kulipa mkopo wa dola 2 milioni alizokopa kwenye ‘benki’ ya City National .
Katika mashitaka hayo amba...
Jambo la talaka kwa waigizaji nchini #Marekani limekuwa kitu cha kawaida week iliyopita muigizaji Sam na mkewe walivunja ndoa yao kwa kupeana talaka mahakamani.
Lakini pia mug...
Wafanyakazi 4 wa kampuni ya JV SPEK LTD inayojenga mradi mkubwa wa bomba la mafuta kutoka Uganda hadi Tanga, Tanzania wamefikishwa mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Igunga Mk...
Wakati lugha ya Kiswahili ikizidi kuvuka boda na kuleta mafanikio mazuri katika nchi mbalimbali kuweza kuruhusu lugha hiyo itumike kimataifa kama lugha ya Kingereza, huko nchi...
Aliye kuwa Rais nchini Marekani, Donald Trump anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini Miami akikabiliwa na makosa saba yakiwemo ya kumiliki nyaraka za siri za serikali.
Aidha ...
Mmoja wa washtakiwa wa mwisho waliokuwa wanasakwa kwa kuhusika kwao katika mauaji ya kimbari Fulgence Kayishema, mwaka 1994 nchini Rwanda, amefikishwa mahakamani mjini Cape To...
Aloo!! Kumbe utapeli katika mapenzi bado tatizo kubwa, sasa bwana muigizaji kutoka nchini Marekani Tyrese Gibson kupitia ukurasa wake wa Instagram alisema kuwa amekuja kugundu...