Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Davido, alikuwa mmoja wa wasanii ambao walihudhuria katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya Uholanzi...
Mwanamuziki kutoka nchini #Nigeria, #BurnaBoy anatarajia kutumbuiza kwenye sherehe ya ugawaji Tuzo za #Grammy2024 zitakazofanyika Februari 4 katika ukumbi wa #Crypto nchini Ma...
Wakali wa #Afrobeat kutoka nchini Nigeria #Asake na #Davido waiibua shangwe kwa mashabiki wakati wakitumbuiza katika tamasha la Flytime Festival.
#Asake alimpandisha jukwaani ...
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Teni adaiwa kulipwa zaidi ya milioni 170 kutumbuiza katika harusi ya mtoto wa bilionea Beninoise, Haija Rissi Razaq Igue.
Kwa mujibu wa Legit...
Baada ya kutua katika jiji la Dar es salaam usiku wa kuamkia leo mwamuziki kutoka #Congo anaetamba #Bongo kupitia wimbo wake wa ‘Tabulele’, sasa msanii huyo tayari...
Mwanamuziki wa #BongoFleva #Rayvanny amehuzunishwa na kutoimba kwenye show Goma nchini Congo baada ya Promoters kutomfata msanii huyo kutoka hotelini hali ambayo ilizua ...
Mwimbaji kutoka nchini Nigeria, Tochukwu Ojogwu maarufu kama Odumodublvck amekataa mwaliko wa kutumbuiza kwenye shughuli ya uapisho wa Rais mteule wa Taifa hilo, Bola Ahmed Ti...
Mashabiki wa muziki nchini Nigeria hatimaye watapata fursa ya kuwaona nyota wawili wanaopendwa zaidi nchini humo, Davido na Wizkid wakitumbuiza pamoja kwenye ziara ya pamoja y...
Msanii wa muziki nchini Tanzania Rayvanny anakuwa msanii wa pekee kutoka Afrika ambaye amechaguliwa kupiuga show kwenye stage ya tuzo kubwa duniani za MTV EMA mwaka huu zinazo...