LEORNADO ATAMBA BAADA YA KUSHINDA TUZO Baada ya mchekeshaji Leornado kushinda tuzo ya 'Overall Best Comedian of the year' kupitia tuzo za Tanzania Comedy Award, ambazo zilitol...
Unaweza kusema ni lugha gongana kutokana na kauli za mama wa msanii na mfanyabiashara Hamisa Mobetto, Shufaa Rutiginga kuhusu ndoa ya binti yake na nyota wa Yanga Stephanie Az...
Mwigizaji kutoka Marekani, Denzel Washington ameweka wazi kuwa hana wasiwasi wowote baada ya kukosa uteuzi katika tuzo za Oscar huku akidai kuwa anajivunia sana kazi zake kuli...
Kwa zaidi ya miaka 10 Darassa amefanya muziki tofauti kabisa na rapa wenzake, uwezo wake wa kuchanganya vionjo na utunzi wa aina yake umefanya nyimbo zake kupendwa na watu wen...
Rafiki wa muda mrefu wa rapa na mfanyabiashara maarufu Marekani Jay-Z, Stephen A. Smith amemkingia kifua rapa huyo kwa kudai kuwa haamini tuhuma za ubakaji zanazomkabili.Kupit...
Mwimbaji wa Bongo Fleva, Queen Darleen kwa kipindi cha takribani miaka 20 akiwa ndani ya tasnia hiyo, ana makubwa aliyoyafanya katika muziki wake kwa kiasi chake akitengeneza ...
Mwigizaji mkongwe kutoka Marekani Sylvester Stallone maarufu Rambo amefunguka kuja na kitabu chake kitachoelezea kuhusu safari yake hadi kuwa nyota mkubwa.Kwa mujibu wa Tmz ny...
Nyota wa filamu nchini anayetamba kwenye tamthilia ya Jua Kali, Wanswekula Zacharia 'Dora' humwambii kitu kuhusiana na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua anayemkosha...
Mrembo na mfanyabiashara Poshqueen amefunguka kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake aliyowahi kufunga mwaka 2020 na John ambaye ni raia wa Nigeria huku chanzo kikubwa kikitanjwa kuwa...
Mwanamuziki Kanye West amefunguka kuwa wakati anatoa kauli za chuki dhidi ya Wayahudi alikuwa amelewa.Kanye ameyasema hayo alipokuwa kwenye mahojiano na mwanadada Candace Owen...
Kila ifikapo tarehe ya leo Agosti 1, ulimwengu unaadhimisha siku ya ‘Girlfriends Day’ siku ambayo wasichana wanaopendana wanaitumia kukaa pamoja, kucheka na kushir...
Kufuatia mvutano wa kugombania msemo unaofanania na "Kuchekacheka tu kuoga aaah" kati ya wachekeshaji Shafii Brand na Steve Moses 'Stive Mweusi', Ofisa Usajili kutoka Wakala w...
Wakati ngoma ya mkali wa Bongo Fleva nchini Diamond Platnumz ya ‘Komasava’ ikiendelea kukosha nyoyo za watu kutoka katika mataifa mbalimbali msanii huyo ameweka wa...
Marehemu mwigizaji kutoka Nigeria John Okafor (62) maarufu Mr Ibu ambaye alifariki Machi 2, 2024 tayari amezikwa katika mji aliozaliwa wa #Amuri, Jimbo la #Enugu nchini humo.I...