13
Bautista afunguka kilichofanya akonde
Baada ya kusambaa kwa picha za mwigizaji na nyota wa WWE, Dave Bautista zikimuonesha kapungua mwili tofauti na alivyokuwa awali, hatimaye mwigizaji huyo amefichua sababu za ku...
12
Harmonize na Rayvanny waingia mzigoni
Nyota wa muziki nchini, Harmonize na Rayvanny,wametangaza ujio wa ngoma yao mpya ikiwa ni ngoma inayosubiriwa kwa hamu. Tangazo hilo la ujio wa ngoma hiyo ya pamoja limezua gu...
07
Fahamu tamasha la kupigana makonde ili kumaliza migogoro
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, hivi ndivyo unaweza kusema kutokana na njia wanayotumia jamii ya Santo Tomás kutoa hasira zao na kutatua migogoro.Jamii ya San...
09
Tabu afunguka alivyorudia darasa mara tisa
Waswahili husema mcheza kwao hutunzwa, hivi ndivyo lafudhi ya Kimakonde ilivyobadili maisha ya Tabu Mtingita mzaliwa wa Mtwara kuwa miongoni mwa waigizaji mahiri nchini Tanzan...
30
Davido, Wizkid kama Diamond na Konde hapatoshi
Wanamuziki kutoka nchini Nigeria, Davido pamoja na Wizkid wapo katika bifu zito, baada ya shabiki wa Wizkid katika mtandao wa X (zamani Twitter) kumuomba msanii huyo atoe ngom...
24
Harmonize kusaini wasanii wawili mwaka huu
Mwanamuziki na mmiliki wa ‘lebo’ ya #Kondegang, Harmonize ameahidi ku-saini wasanii wawili mwaka huu katika ‘lebo’ yake hiyo.  Harmonize kupitia u...
12
Konde faida zaidi ya hasara
Konde Boy anaonekana ana ‘bato’ na Diamond inamsaidia Konde Boy kuliko Diamondi. Kumbuka DMX na Jah Rule ‘bato’ lao lilimsaidia zaidi Jah Rule na kumtu...
29
Konde Boy bado kuna shida
Anaandika sana. Sioni mwenye uwezo huo kwa kizazi hiki. Anaandika mpaka kuandika kunamshangaa. Msikilize kwenye “Bakhressa”, “Kama Unamjua” ama rudi kw...
22
Kuna Wanamuziki, Madijei, Mashabiki na muziki
Wanamuziki wanawaza chapaa, mkwanja, faranga, njuruku, mapene, mawe, ukwasi, fuba na maneno yote yanayomaanisha pesa, fedha au shilingi. Wanavuja jasho kwenye kila kitu kinach...
22
Harmonize ampa nguvu Dulla Makabila
Mwanamuziki wa singeli #DullaMakabila ametoa shukurani kwa msanii wa bongo fleva #Harmonize baada ya #Konde kueleza kuwa wimbo wa singeli kuwa hit Tanzania ni wa #Dulla.#Harmo...
27
Baba Levo kuwarudisha Diamond na Harmonize pamoja
Mwanamuziki wa bongo Fleva #BabaLevo ameleza kuwa kwasasa ipo haja ya #Harmonize na #Diamond kumaliza tofauti zao.Baba levo kupitia ukurasa wake wa #Instagram ame-share &lsquo...
18
Harmonize awatolea povu wanaodai anaendeshwa na mapenzi
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amewatolea uvivu wanaodai kuwa anamawazo ya mapenzi, amesema katika ma-ex wake hakuna wa kumfanya alewe. Konde amefunguka hayo kupitia Instasto...
07
Harmonize: Ibraah siyo msanii wangu
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize ameendelea kummwagia sifa mwanamuziki Ibraah huku akidai kuwa Ibraah siyo msanii wake bali ni kaka yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-...
15
Ibraah adai anapitia maisha magumu kwenye sanaa
Mwanamuziki Ibraah ameweka wazi kuwa anapitia maisha magumu kwa sasa kwenye upande wa sanaa, bila kusema kinachopelekea apitie hayo, Ibra amedai anawapenda sana mshabiki wake ...

Latest Post